Lumumba, Dar: Mzee Kinana na Mzee Makamba waitikia wito Kamati ya Maadili ya CCM

Lumumba, Dar: Mzee Kinana na Mzee Makamba waitikia wito Kamati ya Maadili ya CCM

Mtu hakatai wito hukataa analoitiwa. Sharti la Kwanza la wito ni kufika ulipoitwa iwe kwa hiari au lazima baada ya kufika ndio una uhuru wa kukataa au kuendelea kusikiliza ulichoitiwa. Wahenga waliona mbali sana.
Wamekataa kuhojiwa na wavamizi wa Chama chao,
 
Fiziolojia,
Hakina Cha kustay tune Wala alert! Hakina kuhojiwa na watoto wadogo wasiokijua chama na misingi yake! Mbona walishamleteeni barua ya kujiondoa kwenye chama na kadi yenu juzi? Au mmewafunga kamba na kuwaburuzia Whitehouse?

Na hizi kelele za polepole za makontena 700 ndio kabisa mmeharibu! Hawajaenda na hawatakwenda!
 
Ulivuta bangi kabla ya kucomment? Hakuna anguko lolote unalolifikiria

Sent using Jamii Forums mobile app
Jiongopee Ila tulio mitaa ya lumumba tuna full data na tunaumonitor mchezo na taharuki zilizojitokeza tangu ijumaa! Hali ni tete tangu juzi na ninyi mmepewa kazi Leo asubuhi ya kutuaminisha umma kuwa wazee watanojiwa Leo ilihali siyo kweli! Hawajaenda dodoma wapo makwao dar!
 
Fiziolojia,
Wacha wahojiwe hila waliomuundia lowassa leo linawatafuna kama njinsi saphiric acid itafunavyo baadhi ya vyuma. Zao la hila huzaa hila na bado mvua haya ni manyunyu tu. Wange msikiliza marehemu Kingunge Ngombale Mwiru wasingefika hapa walipo.
 
Alipokuwapo Dr silaa kwenu alikuwa mtu wa heshima alipo ondoka mkamuita mzee wa mihogo mjinga na mengine mengi kwa hiyo hapo ilikuwa ni CCM au? Usiseme CCM wakati hata huko upinzani yapo.
aliyesema anashindia mihogo si CHADEMA bali Dr Slaa mwenyewe,kwa hiyo alaumiwe mwenyewe kwa kujipatia jina la Dr Mihogo badala ya kuilaumu chadema.
 
Back
Top Bottom