Nimempigia simu Lunyungu kumjulia hali lakini alilinisisitiza nikate simu kwanza halafu nimwekee credit kwenye simu yake kwani bado yupo nje ya nchi, nafikiri namba yake imekuwa diverted hivyo ni lazima iwe na credit kuweza kuongea nae. Nashindwa kutambua namba yake 0767 554433 ni mtandao gani, msaada tafadhali.
Nafurahi kusikia haya maneno ya faraja, asante Nguliis doing great, was discharged from the hospital in God willing will soon be here/JF
Nimempigia simu Lunyungu kumjulia hali lakini alilinisisitiza nikate simu kwanza halafu nimwekee credit kwenye simu yake kwani bado yupo nje ya nchi, nafikiri namba yake imekuwa diverted hivyo ni lazima iwe na credit kuweza kuongea nae. Nashindwa kutambua namba yake 0767 554433 ni mtandao gani, msaada tafadhali.
Nimesoma hii post na kujisikia vibaya, ndivyo hali halisi ilivyo kwa sehemu kubwa, si mahospitalini tu. Honesty and Responsibility ilishaondoka siku nyingi, kuna vijana wanaingia medical school kwa vile tu wanaitaka ile title, ili mbele za watu wapate respect fulani, matumizi ya hiyo title ni aibu tu.:A S-danger:Jambo ambalo nilikuwa siamini ni kukosekana kwa maadili katika sekta ya tiba. Matabibu wengi kwenye Hospitali kubwa hawana hata chembe ya utu japo walikula kiapo kutumikia wagonjwa kwa ujuzi wao wote. Sasa sina imani nao na ninaogopa Hospitali hizo maana linalofanyika huko ni uuaji mtupu lakini kwa vile wanalindwa na sheria ndiyo maana hata wanapoua hawaonekani kuwa wametoka nje ya maadili ya taaluma yao. Amin usiamini ndio madaktari wetu na iwapo mtu ataumwa nashauri awe mwangalifu sana. Pole sana Lunyungu na ugua pole. Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye yote. Nakutakia upone haraka.
Wana bodi, nimesoma posti hii na ndicho kilichotokea, nimemkumbuka Lunyungu, nimeongea nae kwa number hiyo hapo juu, anaendelea vizuri, hospital ametoka, ila bado anaatend akitokea nyumbani.Wandugu wote namba yangu ni
+31641998601
Lakini napenda kuwaambia kwamba kura zitaibwa kwenye majumuisho so we need strong mawakala. Kura zote vituoni zitakuwa salama lakini wataongezea za CCM kule town Hall ambako kutakuwa na majumuisho ya mwisho . Nitakuja na siri zaidi .So mawakala jamani wawe strong na wakatae pesa na kulishwa chakula chao usiku ule .
Kwa vile thread starter ni JF, nakuomba mode, pata update ya hali ya Lunyungu utuupdate hapa ili pia tu discuss a way forward.
Mimi nimeongea naye na kupata update ya hali yake, kwa vile ni private talk, ningeomba mode apate public version so that we can share.
Kama tulivyofanya kwa wahanga wa majanga mbalimbali, naamini JF inaweza kufanya kitu kwa individual member kama huyu.
Niliwahi kuwa hospitalized inje ya nchi kwa kipindi kirefu, lakini pamoja na family support, life was not the same without society na social support besides "Get Well Soon" wishes, he needs more than that.
lets do something.
Lunyungu, Get Well Soon!.
Mode pleaseee update!Mode, nakuomba mtendee haki huyu mwana JF mwenzetu,
Kwa vile ninayo update yake, nimeona sio busara kuibuka nayo mimi asa an individual member wakati mkuu mwenyewe JamiiForums yupo!
Namwombea sana ndugu yetu huyu apate nafuu mapema.
Nimejaribu kumpigia hapokei, nadhani atakuwa mapumziko
ASPRIN upo wapi? yule tabibu pls namba yake nimtumie Lunyungu