Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 181
Nimempigia simu Lunyungu kumjulia hali lakini alilinisisitiza nikate simu kwanza halafu nimwekee credit kwenye simu yake kwani bado yupo nje ya nchi, nafikiri namba yake imekuwa diverted hivyo ni lazima iwe na credit kuweza kuongea nae. Nashindwa kutambua namba yake 0767 554433 ni mtandao gani, msaada tafadhali.