Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Mkuu kwa sasa usije, mipaka haijafunguliwa (sababu ya Corona)

Na kwa kupitia mkoa Mtwara (boda yoyote ile) hao jamaa ulio wasema wanazingua kinoma.

Hasa Mocimbua ndio hapanogi kabisaaa.

Usije utaishia njiani.
Mkuu vp mpakani now wanaluhusiwa kupita, maana nilikua na jamaangu tulikua na latiba ya kuzamia huko machimboni,naomba unipe muongoze maana nasikia Islamic state wanaua raia ovyo
 
Mkuu bora umeirudisha mana ingefichua siri nyingi sana [emoji14][emoji14][emoji14]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka kipindi wanazigawa hizi shule mimi ningali niko hapo.

Nakumbuka tuligawanywa, wengine walienda kuanzisha Jitihada primary school, wengine tulibakia Yombo dovya.

Unamkumbuka mwalimu Waziri?
Japo alikua mkali sana, ila kwangu alikua ana koma.
Kwahiyo jamaa tumesoma shule moja yaan Yombo Dovya au Jitihada, haya malizia story hiyo
 
Kila la kheri mkuu... Nakuombea ukamekuwemekuwe ulete mambo hapa
 
Kwa asie ijua Ruby, hii ndio Ruby.
Ukikutana na uzito huo, lazima ulale na kina Wema sepetu.
Zuchu mwenyewe hachomoki hapo. View attachment 1571029
kuna jamaa insta ana jiita Marleydollars nae ni mchimbaji wa hizo Rubby ni kwamba zina lipa sana kama anavo onesha utajiri wake ama yey n mmiliki kabisa wa machimbo?
 
Huyo ni broca (dalali) wa madini.
Nilikua nae Nanyupu miaka ya 2013 mpaka 2017 tulipo fukuzwa.

Muulize unaijua Nanyupu, Namanybiri ama Namuchu?
Lazima acheke, maana utakua ume mkumbusha mbali sana.

Nakumbuka huyo jamaa alikua anafanya kazi ofisi moja na rafiki yake Koba.
kuna jamaa insta ana jiita Marleydollars nae ni mchimbaji wa hizo Rubby ni kwamba zina lipa sana kama anavo onesha utajiri wake ama yey n mmiliki kabisa wa machimbo?
 
Mmmh we jamaa itakua tumemaliza mwaka mmoja, mwl waziri namjua maana alihama kwenda Buza, kwake jirani na msikiti mweupe pale
 
Mkuu kwenda mozambique hakuna visa inahitajika?je huyo mzee anatibu magonjwa yote ya kiuchawi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…