Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Naskia wachawi huwa ni lazma walipize kisas je tangu urudishe icho kibao ulisha rud kwenu ulipoleta maafa? Je hawajakusumbua?

Yote ya tote nipe konekshen nataka nijitose kwenye madin huko laifu imekua ngumu ila usije kunitoa kafara
 
Hahahah hiko kibao nipe niende nacho kimanga mwanangu, kule ukilala ukiamka lazma ukute mikwaruzo mwilini tu. Yani wachawi wamezidi mkuu🤣🤣🤣!

Niazime nikadondoshe wanga wa mtaa mzima. Inafikia stage hata kwenda home kusalimia naona kero maana nikilala tu naamka na mikwaruzo
 
Kimanga hii ya tbt au ulimaanisha nyingine Extrovert
 
bi Dada ukiombwa po ukirudisha utaona cha mtema kuni watalipa kisasi kwako ndio tabia ya wachawi kwa uyu bana japo wanakufa lakin wangeendelea kumsaka kwa ubishi wachawi wapo njema
Mwenyewe nashangaa jamaa mpaka leo hawajamuua.....
Wachawi hata uwaue mia kwa siku hawatakaa wakuogope kamwe watakaa waungane afrika nzima ili tu wakuondoe duniani kwa kigezo cha uchawi unazidiana nguvu.....litaundwa bomu hapo huchomoki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…