Je akiingia nayo "Jumba Jeupe" pale karibu na Soko la Samaki?Hio dawa ukiingia nayo pale bungeni sijui nani atapona.
Kila dakika utakua unaona mwanga mwekundu mara paaah chupa ya bia imevunjika then wimbo wa Taifa Tbc.
Huwezi fanya harakati kama sio kigagulaMkuu mchawi humjui, wenda hata Bimkubwa akawa mchawi ila usimjue.
Nimempoteza mama yangu mkubwa kizembe tu, naamini yeye hakuwa na nia ya kuniroga ila ile kinga ni marufuku kwa mtu kuchezea uchawi nilipo kuwepo mimi.
Kwahiyo wenda mama mkubwa alikua na harakati zake, sema dawa ikamvuta kama sumaku.
Mkuu hakuna kitu kinaumiza kama kuhangaika kujinyima ili ujikomboe kiuchumi afu linakuja jitu lenye akil timamu linachukua asset zako kwa kuiba ama jingine unaliweka kusimamia biashara sasa lenyewe linachukulia kama advantage linakuingiza king linakimbia na mtajiSawa mkuu ila swala la matapeli na wezi nimejikuta nachekaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Alikuwa anataka kujaribu kupiga busu nyukiSasa mama mkubwa wako kwa nini hakusikia maneno yako
Speaking of kukimbia na mtaji daaah kuna mtu kajua kuniweza mwaka huu zaidi ya million 4 amekula kimasikhara ,yan nimepungua kutoka kilo 75 hadi 55 within a month ,kila nikiwaza cha kumfanya nakosa nguvu[emoji24][emoji24]Mkuu hakuna kitu kinaumiza kama kuhangaika kujinyima ili ujikomboe kiuchumi afu linakuja jitu lenye akil timamu linachukua asset zako kwa kuiba ama jingine unaliweka kusimamia biashara sasa lenyewe linachukulia kama advantage linakuingiza king linakimbia na mtaji
Majitu kama haya hayafadhiriki hata kidogo.
Nyonga wote........Je kama mtu ana kahirizi kake cha kinga yake mwenye lupatu inamvuta?
Inaanzaga na Kumwekua mwekuaBasi Jana nimekaa bar nagonga beer....
mara meza ya nyuma yangu chupa ya bia ilidondoka kutoka mezani paap.....!!
nikasema tayari.......
basi nikikumbuka na hii story nacheka sana!!
Picha ya kibao ili tuhalalishe uzi wakoKwa asie ijua Ruby, hii ndio Ruby.
Ukikutana na uzito huo, lazima ulale na kina Wema sepetu.
Zuchu mwenyewe hachomoki hapo. View attachment 1571029
Vipi "Milioni thalathini na sita" zetu bado zipo kwanza??
Let's meet at the top, cheers [emoji482]
Utapataje madini bila ushirikina???je wajua majini ndio walioficha hayo madini huko chini
Kuna sehemu ningekupeleka ila toka uibiwe zishapita siku tatu......zikipita hapo hawezi fanya chochoteDah wakuu usiku wa kumkia leo nimeibiwa TV Samsung flat 49 inches. Jamaa wameruka fence wakatoa lock ya kioo cha dirisha wakavunja nondo wakazama ndani wakafungua TV ukutani. Hii ni mara ya pili wananiibia TV, mara ya kwanza ilikua mwaka 2018 kwa style hiyo hiyo. Huyu babu hawezi kuwa na namna ya kudhibiti wezi ikiwa ni pamoja na kuwakamata hawa wa jana? Au kama kuna yoyote mwenye uwezo wa kuwakamata wafundishwe adabu maana wamenichosha na wanarudisha nyuma sana.
Nimeweka picha ya nondo walizokata kisha wakaziacha hapo chini. View attachment 1575000
[emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ulikuwepo mkuu hawa viongozi wetu wa kiimani kwa kupaa nao hawajambo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app