Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

H
Habari ndo hiyo mzee,
Miezi mitatu iliyopita sehemu niliyokuwa nilikuwa nasikia sana kuna uchawi uchawi lakini nilikuwa siamini, kuna siku nililala kuamka asubuhi nakuta nywele zangu kichwani zimenyolewa na usiku kabla ya kulala zilikuwa ziko vizuri,
Upo hapo
Mkuu labda walienda kuziwekea mbolea si unaona now hata joti wa tangazo la tigo umempita kwa huo wingi wa nywele[emoji1]
 
Nikiona mtu anazungumzia uchawi najua kabisa hana akili. Uchawi ndio nini?


Kama huamini katika kitabu chochote Kitakatifu matharani Koran na Biblia hapo nitakuelewa!

Yani mfano kama wewe siyo Mkristo , Bidhist, au Islam nitakuelewa , lakini kama umo kwenye mojawapo ya hiyo mifano michache ya hizo Dini/Imani basi nitakushangaa kwa hayo uloandika!

Sababu hivyo vitabu vitakatifu vimeweka wazi kabisa kuhusu uwepo wa Imani za kichawi na Ushirikina.

Kama uko ktk mojawapo ya hizo dini/Imani Basi nakushauri nenda kasome na kujifunza zaidi upate kufahamu juu ya habari hizo na nyinginezo!
 
Wewe siku zote mabishano yetu miaka ya nyuma
uamini uwepo wa Mungu wala majinni km kiranga na ukawa unataka uthibitisho na wenzio kina Bennie 369 sijui yuko wapi huyu

Sasa iweje leo unataka LUPATU ujirinde na wachawi inafikirisha sana nyinyi wapinga MUNGUKiranga mwenzio mpk kuitaka LUPATU kakubari MUNGU yupo na UCHAWI upo
bado wewe rudi BONGO huku urogwe km hujaenda kufata LUPATU au SILVA MACOA kwa bibi kuzikwa ukiwa hai siku 2
MTU anaweza akabisha kitu cha ukweli hata akijua kuwa ni ukweli yaani sijui tu.
Kwani huwezi ukapinga kuwa pesa sio muhimu na baadaye ukatoa data za kukubali kuwa kwa nini pesa ni muhimu ndugu ama
 
Kama huamini katika kitabu chochote Kitakatifu matharani Koran na Biblia hapo nitakuelewa!

Yani mfano kama wewe siyo Mkristo , Bidhist, au Islam nitakuelewa , lakini kama umo kwenye mojawapo ya hiyo mifano michache ya hizo Dini/Imani basi nitakushangaa kwa hayo uloandika!

Sababu hivyo vitabu vitakatifu vimeweka wazi kabisa kuhusu uwepo wa Imani za kichawi na Ushirikina.

Kama uko ktk mojawapo ya hizo dini/Imani Basi nakushauri nenda kasome na kujifunza zaidi upate kufahamu juu ya habari hizo na nyinginezo!
Hawana lolote hao wanaosema hawajui uchawi
Maana hadi vitabu vya dini vimeandikwa
Ukimsoma Musa kwenye bible utakutana na hbr za uchawi
 
Kama huamini katika kitabu chochote Kitakatifu matharani Koran na Biblia hapo nitakuelewa!

Yani mfano kama wewe siyo Mkristo , Bidhist, au Islam nitakuelewa , lakini kama umo kwenye mojawapo ya hiyo mifano michache ya hizo Dini/Imani basi nitakushangaa kwa hayo uloandika!

Sababu hivyo vitabu vitakatifu vimeweka wazi kabisa kuhusu uwepo wa Imani za kichawi na Ushirikina.

Kama uko ktk mojawapo ya hizo dini/Imani Basi nakushauri nenda kasome na kujifunza zaidi upate kufahamu juu ya habari hizo na nyinginezo!
Budhist hawana mafundisho hayo wala, labda useme huo ukristo na uislamu ndio wenye hizo mambo
 
Wakuu kesho naenda kukata veni, naomba muniombee nikutane na madini kama yote.

Naahidi niki kutana nayo, wote mtalewa humu (kama wanywaji)

Mgao kuanzia $10,000 US dollars, lazima nije nitumie Tanzania, labda kama watakomaa kufungua mipaka. Mungu atupe uzima na atuamshe salama.

Mkuu nahitaji nifike kwa babu aisee. Naomba muongozo
 
Kama huamini katika kitabu chochote Kitakatifu matharani Koran na Biblia hapo nitakuelewa!

Yani mfano kama wewe siyo Mkristo , Bidhist, au Islam nitakuelewa , lakini kama umo kwenye mojawapo ya hiyo mifano michache ya hizo Dini/Imani basi nitakushangaa kwa hayo uloandika!

Sababu hivyo vitabu vitakatifu vimeweka wazi kabisa kuhusu uwepo wa Imani za kichawi na Ushirikina.

Kama uko ktk mojawapo ya hizo dini/Imani Basi nakushauri nenda kasome na kujifunza zaidi upate kufahamu juu ya habari hizo na nyinginezo!
Wewe kila kilichoandikwa kwenye biblia ama quran unakichukulia kama kilivyo?

Kama ndio hivyo, unaweza kulala na watoto wako wa kike ukawatafuna kama rutu na kuwazalisha, kama hapana kwa nini wakati biblia imesema hivyo? Ama wewe ni muislamu unaweza kumpa mkeo baba yako amuonje kwanza kama quran inavyosema ama wewe ukajitoa kwa baba mkwe wako akuonje kwanza kama quran inavyosema iwapo wewe ni wa kike.
 
Wewe kila kilichoandikwa kwenye biblia ama quran unakichukulia kama kilivyo?

Kama ndio hivyo, unaweza kulala na watoto wako wa kike ukawatafuna kama rutu na kuwazalisha, kama hapana kwa nini wakati biblia imesema hivyo? Ama wewe ni muislamu unaweza kumpa mkeo baba yako amuonje kwanza kama quran inavyosema ama wewe ukajitoa kwa baba mkwe wako akuonje kwanza kama quran inavyosema iwapo wewe ni wa kike.


Kuhusu Rutu hilo lilikuwa agizo lake mahususi kwa namna maalum na kwa mazingira maalum sababu hakukuwa na watu baki kwenye jamii wa kuendeleza kizazi maana mke wa Rutu alishageuka kuwa jiwe la chumvi.

Mwanaume alikuwa ni Rutu na binti zake tu , Je kizazi kingeongezekaje kwa watu kuzaliana ambao Ndiyo mojawapo ya makusudi ya Mungu kwamba nendeni mkazaane mkaongezeke muijanze nchi?!

Makusudi ya Mungu siku zote ni mema sana kwa faida yetu tumchao.

Tunapoagizwa kumcha Mwenyezi Mungu siyo kwa faida yake yeye maana imeandikwa tusipomsifu atainua hata mawe yamsifu.

Kumcha Mungu ni kwa faida yetu wenyewe na vizazi vyetu na kinyume chake ni hasara pia!
 
Back
Top Bottom