Mkuu labda walienda kuziwekea mbolea si unaona now hata joti wa tangazo la tigo umempita kwa huo wingi wa nywele[emoji1]H
Habari ndo hiyo mzee,
Miezi mitatu iliyopita sehemu niliyokuwa nilikuwa nasikia sana kuna uchawi uchawi lakini nilikuwa siamini, kuna siku nililala kuamka asubuhi nakuta nywele zangu kichwani zimenyolewa na usiku kabla ya kulala zilikuwa ziko vizuri,
Upo hapo
Nikiona mtu anazungumzia uchawi najua kabisa hana akili. Uchawi ndio nini?
Hamna kitu hapa, alikuwa zamani kwa sasa utapeli mtupu. Mimi nilikwenda huko 2014.Huyu bi likunji ni wa wapii
MTU anaweza akabisha kitu cha ukweli hata akijua kuwa ni ukweli yaani sijui tu.Wewe siku zote mabishano yetu miaka ya nyuma
uamini uwepo wa Mungu wala majinni km kiranga na ukawa unataka uthibitisho na wenzio kina Bennie 369 sijui yuko wapi huyu
Sasa iweje leo unataka LUPATU ujirinde na wachawi inafikirisha sana nyinyi wapinga MUNGUKiranga mwenzio mpk kuitaka LUPATU kakubari MUNGU yupo na UCHAWI upo
bado wewe rudi BONGO huku urogwe km hujaenda kufata LUPATU au SILVA MACOA kwa bibi kuzikwa ukiwa hai siku 2
Hawana lolote hao wanaosema hawajui uchawiKama huamini katika kitabu chochote Kitakatifu matharani Koran na Biblia hapo nitakuelewa!
Yani mfano kama wewe siyo Mkristo , Bidhist, au Islam nitakuelewa , lakini kama umo kwenye mojawapo ya hiyo mifano michache ya hizo Dini/Imani basi nitakushangaa kwa hayo uloandika!
Sababu hivyo vitabu vitakatifu vimeweka wazi kabisa kuhusu uwepo wa Imani za kichawi na Ushirikina.
Kama uko ktk mojawapo ya hizo dini/Imani Basi nakushauri nenda kasome na kujifunza zaidi upate kufahamu juu ya habari hizo na nyinginezo!
Budhist hawana mafundisho hayo wala, labda useme huo ukristo na uislamu ndio wenye hizo mamboKama huamini katika kitabu chochote Kitakatifu matharani Koran na Biblia hapo nitakuelewa!
Yani mfano kama wewe siyo Mkristo , Bidhist, au Islam nitakuelewa , lakini kama umo kwenye mojawapo ya hiyo mifano michache ya hizo Dini/Imani basi nitakushangaa kwa hayo uloandika!
Sababu hivyo vitabu vitakatifu vimeweka wazi kabisa kuhusu uwepo wa Imani za kichawi na Ushirikina.
Kama uko ktk mojawapo ya hizo dini/Imani Basi nakushauri nenda kasome na kujifunza zaidi upate kufahamu juu ya habari hizo na nyinginezo!
We labda hujasoma hadi mwisho, mbona alishamaliza siku nyingi tutunasubiri muendelezo tujue mwisho wa iyo milion 3o ila pole kwa kifo ch mam mkubwa wak………….
Visa vya mods[emoji852]Hivi uzi wa chizi maarifa umefutwa mbona hauonekani ule wa jini.
Wakuu kesho naenda kukata veni, naomba muniombee nikutane na madini kama yote.
Naahidi niki kutana nayo, wote mtalewa humu (kama wanywaji)
Mgao kuanzia $10,000 US dollars, lazima nije nitumie Tanzania, labda kama watakomaa kufungua mipaka. Mungu atupe uzima na atuamshe salama.
Wewe kila kilichoandikwa kwenye biblia ama quran unakichukulia kama kilivyo?Kama huamini katika kitabu chochote Kitakatifu matharani Koran na Biblia hapo nitakuelewa!
Yani mfano kama wewe siyo Mkristo , Bidhist, au Islam nitakuelewa , lakini kama umo kwenye mojawapo ya hiyo mifano michache ya hizo Dini/Imani basi nitakushangaa kwa hayo uloandika!
Sababu hivyo vitabu vitakatifu vimeweka wazi kabisa kuhusu uwepo wa Imani za kichawi na Ushirikina.
Kama uko ktk mojawapo ya hizo dini/Imani Basi nakushauri nenda kasome na kujifunza zaidi upate kufahamu juu ya habari hizo na nyinginezo!
Nadhani kuna kitu hatukielewi kuhusu uchawi. Nadhani hiki kibao kinadeal na wale wanaonda kuwaumiza wenzaoHio dawa ukiingia nayo pale bungeni sijui nani atapona.
Kila dakika utakua unaona mwanga mwekundu mara paaah chupa ya bia imevunjika then wimbo wa Taifa Tbc.
Budhist hawana mafundisho hayo wala, labda useme huo ukristo na uislamu ndio wenye hizo mambo
Wewe kila kilichoandikwa kwenye biblia ama quran unakichukulia kama kilivyo?
Kama ndio hivyo, unaweza kulala na watoto wako wa kike ukawatafuna kama rutu na kuwazalisha, kama hapana kwa nini wakati biblia imesema hivyo? Ama wewe ni muislamu unaweza kumpa mkeo baba yako amuonje kwanza kama quran inavyosema ama wewe ukajitoa kwa baba mkwe wako akuonje kwanza kama quran inavyosema iwapo wewe ni wa kike.
Bora umesema tusijeingizwa kingi. Njombe naskia mambo sio haba ni kweli?Hamna kitu hapa, alikuwa zamani kwa sasa utapeli mtupu. Mimi nilikwenda huko 2014.
Kuna mtu aliketa habari zake za uchawi hapa.Nikiona mtu anazungumzia uchawi najua kabisa hana akili. Uchawi ndio nini?
NdioKwa hiyo Buddhists hawaamini katika uwepo wa Shetani na Malaika zake na kazi zake kwa ujumla?
Wakati mwingine unapuuzwa tu maana hujui unachoongeaKuna mtu aliketa habari zake za uchawi hapa.
Akanitishia ataniroga.
Nikamwambia aniroge nishindwe kutype hapa JF.
Sijamsikia tena.