ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
mpaka kwa babu?Itabidi ikodishwe tu coaster tu sasa maana naona watu ni wengi
Hujathibitisha uchawi upo.Wakati mwingine unapuuzwa tu maana hujui unachoongea
Teh tehHujathibitisha uchawi upo.
Hujaniroga nishindwe ku type hapa.
Niroge nishindwe ku type hapa uthibitishe uchawi upo.
Ikiwezekanampaka kwa babu?
Uchawi una kanuni zake pia na miiko yake.Sio unaomba kurogwa tu bila kujua kuwa uchawi una namna yake ili ufanyike kwa ufanisi.Kuna mtu aliketa habari zake za uchawi hapa.
Akanitishia ataniroga.
Nikamwambia aniroge nishindwe kutype hapa JF.
Sijamsikia tena.
Mkuu ujinga bado ni tatizo kubwa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Sio ujinga wa kusoma na kua na haya mavyeti bali kuelewa.Kuna mtu aliketa habari zake za uchawi hapa.
Akanitishia ataniroga.
Nikamwambia aniroge nishindwe kutype hapa JF.
Sijamsikia tena.
Nakufahamu kitambo sana Kiranga tutabishana sana[emoji3][emoji3]nafikiri hakuna tatizo hata ukiamini hakuna uchawiHujathibitisha uchawi upo.
Hujaniroga nishindwe ku type hapa.
Niroge nishindwe ku type hapa uthibitishe uchawi upo.
Zamani nilifikiri kwamba tutatatua matatizo mengi ya ujinga kwa kuzidisha elimu (formal education).Mkuu ujinga bado ni tatizo kubwa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Sio ujinga wa kusoma na kua na haya mavyeti bali kuelewa.
Idadi kubwa ya watu bado wanaamini uchawi. Sio wasiosoma tu hata wasomi, juzi niko mkoa flani kikazi kuna nimakutana na brother wangu anamtuhumu brother mwingine kwa uchawi, anamtoa tuhuma ni mtu amesoma sana na ana nafasi kubwa sana serikalini halafu anaetuhumiwa ni mtu ambae hakwenda shule kivile, nilisikitika sana.
Kuna kipindi tuliwahi kupata misiba mfululizo kwenye familia, tuhuma za kurogana zitakamalaki, kidogo zisambaratishe ukoo, hakuto kama tulivyowahi kua, watu wengine hawasalimiani hadi tukutane kwenye matukio.
Hali iko hivyo kwenye kwenye jamii kubwa ya watanzania, watu wanaamini kitu ambacho hakipo. Uchawi haujawahi kuwepo.
Nimeshawaambia watu wengi tu live waniroge lakini sijawahi kuona narogwa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Uchawi una kanuni zake pia na miiko yake.Sio unaomba kurogwa tu bila kujua kuwa uchawi una namna yake ili ufanyike kwa ufanisi.
Vitu kama majina yako halisi,ya wazazi wako;musa maalumu,vifaa maalumu na baadhi ya vitu kutoka mwilini mwako au ulipogusa au kuacha uchafu wako n.k
Toeni ushirikiano,mtarogwa mpaka mshangae!
Siongelei imani.Nakufahamu kitambo sana Kiranga tutabishana sana[emoji3][emoji3]nafikiri hakuna tatizo hata ukiamini hakuna uchawi
Sasa akileta hivyo si unaweza hata kutumia Chemistry kumuua ukaita uchawi?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Alete nguo, kucha, nywele ,mate na jina halisi.
Formal education haiwezi kupiku tamaduni za watu. Kuna vitu vya ajabu sana vinafanywa na hao wenye formal education kwa kisingizio cha utamaduni.Zamani nilifikiri kwambq tutatqtua matatizo mengi ya ujinga kwa kuzidishq elimu (formal education).
Nikaja kugundua kwambq utamaduni una nguvu kuliko elimu.
Ndipo hapo unakuta mtu kasoma, lakini bado anaamini uchawi.
Inasikitisha sana.
Lakini inatia moyo kusikia kwambq kuna watu kama wewe.
Hili tunakubaliana kabisa.Formal education haiwezi kupiku tamaduni za watu. Kuna vitu vya ajabu sana vinafanywa na hao wenye formal education kwa kisingizio cha utamaduni.
Ningekuwa mchawi ningekuthibitishia lakini mimi nimeona masuala ya kichawiSiongelei imani.
Naongelea fact.
Hakuna ushahidi wa fact wa kuthibitisha uchawi upo.
Mkuu akileta akaondoka halafu pakawa na matokeo ya zoezi hiyo ni chemistry?Sasa akileta hivyo si unaweza hata kutumia Chemistry kumuua ukaita uchawi?
Unashindwa kuvipata hivyo vitu kwa uchawi?
Umeona nini ulichofikiri ni uchawi na kwa nini ni lazima kiwe uchawi tu na si kitu kingine chochote?Ningekuwa mchawi ningekuthibitishia lakini mimi nimeona masuala ya kichawi
Hapa hatutaelewana kamwe ni mpaka uthibitishe na mimi siwezi
Kitendo cha kukupa hivyo vitu kinaweza kukupa nafasi ya kunipa sumu, ukaita uchawi.Mkuu akileta akaondoka halafu pakawa na matokeo ya zoezi hiyo ni chemistry?
Yaani unipe mahitaji halafu urudi ulaya huko uwe kichaa tuseme ni chemistry?