Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Hiyo sehemu ulotaja timu zetu kubwa uchawi ndo wanatoaga hapo, mmoja aliwahi kamatwa hapo boda,/akaeleza jinsi alivyotumwa na alikuwa hana kibali cha kuingia kule Mozambique (c) baadae akaja kuachiwa akapita

Ooo Kumbeee..

Sasa Mbona Hawawapi Ushauri Benchi la Ufundi La Taifa Stars Tukaneemeka Kulichukua AFCON...hata basi tufike SEMI FINAL...

Kwa Hiyo Luis Mixssoun Konde Boy Ni balaa eee loooh 😂😂 😂
 
We tupe season iyo Wala ata usiwaze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…