Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Hivyo vibao tungepata watz 100 tu tungesafisha nchi yote, wachawi siwapendi hata kidogo
Mkuu mchawi humjui, wenda hata Bimkubwa akawa mchawi ila usimjue.

Nimempoteza mama yangu mkubwa kizembe tu, naamini yeye hakuwa na nia ya kuniroga ila ile kinga ni marufuku kwa mtu kuchezea uchawi nilipo kuwepo mimi.

Kwahiyo wenda mama mkubwa alikua na harakati zake, sema dawa ikamvuta kama sumaku.
 
Nauli bei gani mpaka kufika huko...nakitaka icho kibao na HUYO mzee bado yupo hai
 
Na VIP umepata hayo madini(utajiri/hela) baada ya kufanya makufuru yote hayo mkuu.?..out of curiosity!
Sio wote.
Wapo wanaochimba na kupata kwa bahati zao, ila wanachelewa kupata.

Ila kiukweli ili uishinde kesi ya madini lazima ukufuru.
Binafs nishalala makabulini, nishafukua maiti za watu, yote ni kutafuta madini tu.
Mungu anisameh.
 

Huo ndio uchawi wa lupatu kutuacha hewani au sio
 
Ooo Kumbeee..

Sasa Mbona Hawawapi Ushauri Benchi la Ufundi La Taifa Stars Tukaneemeka Kulichukua AFCON...hata basi tufike SEMI FINAL...

Kwa Hiyo Luis Mixssoun Konde Boy Ni balaa eee loooh [emoji23][emoji23] [emoji23]
Huyo Miquesone, sio mmakonde.
Tatizo wa Tanzania tumekalili kila atokae Mocambique ni mmakonde.
Mocambique ina makabila mengi na huwezi amini wamakonde ni wachache kinoma.
 
. Siku ya sita, nikatoka zangu mpaka yombo, (kwa rafiki yangu) niliko peleka begi langu, nipo fika nikamkuta rafiki yangu akanipa begi langu, nilipo muuliza kuhusu mama , (mama yake) akaniambia yuko msibani, nyumba ya jirani kuna msiba.
Kwakua inafanya kazi hatua kumi kwa kumi ikaondoka na jirani wa rafiki yako [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…