Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Naona hii HADITHI, inafanana na zile hadithi tamu za Said Bawji enzi zileeee za gazeti la SANI. Likitoka leo likiwa na hadithi ambayo haijaisha, na kuambiwa ITAENDELEA TOLEO LIJALO, basi unakaa na hamu ya kulisubiri TOLEO LIJALO kwa zaidi ya miezi miwili. Tofauti na hadithi za John Rutayisingwa tulizokuwa tukizisoma kwenye gazeti la Mzalendo,kila Jumapili, kabla hajahamia kwenye gazeti la Dimba na Rai.
Dunia imebadilika. Jiandae, malizia simulizi yako yote pembeni, kisha uilete hapa, yabaki maoni ya wasomaji. Na huko magazetini, kukatiza katiza simulizi, ni kwa ajili ya biashara, ili ununue tena gazeti lijalo. Sasa sijajua mleta simulizi hii, hii katiza katiza, zina lengo gani!
Anaitwa Salim Bawji
 
Mkuu kumbe ukiwa machimboni madini huwa hayapatikani bila uchawi?
Ukiwa na nyota kali unaweza kuyapata bila uchawi, lakini asilimia kubwa uchawi unakua mbele.

Wengine mgodini wanasota miaka 6 bila mgao hata wa Milioni ishirini.
Wengine wanaya tafuta mpaka uzee unawa kuta bila hata mgao, yani wanaishia kupata pesa za pombe tu.
 
Duh hatar sana.
Vipi mozambique kunaendeka kwa sasa?
Ukiwa na nyota kali unaweza kuyapata bila uchawi, lakini asilimia kubwa uchawi unakua mbele.

Wengine mgodini wanasota miaka 6 bila mgao hata wa Milioni ishirini.
Wengine wanaya tafuta mpaka uzee unawa kuta bila hata mgao, yani wanaishia kupata pesa za pombe tu.
 
Kaka Jabiri fanya urudi basi hapa nyumbani Mkuranga hali ya kimaisha si nzuri,anko anataabika.Huko Msumbiji umeenda mazima maana wachimbaji mna 'mambo majinga' sana.Unakumbuka ule mwaka uliopota ruby nyingi..wakakunyang'anya,wakakupiga.Kaka Jabiri rudi!
Wenda kaka yako Jabir tusha mzika, maana huku vifo ni kama kupakaa mafuta tu.
Mwaka huu kuna watu zaidi ya 30 walipigwa na ngema (kufukiwa) kati yao kuna wa Tanzania 12, walipoteza maisha, wenda kaka yako Jabir alikuemo.
 
Naona hii HADITHI, inafanana na zile hadithi tamu za Said Bawji enzi zileeee za gazeti la SANI. Likitoka leo likiwa na hadithi ambayo haijaisha, na kuambiwa ITAENDELEA TOLEO LIJALO, basi unakaa na hamu ya kulisubiri TOLEO LIJALO kwa zaidi ya miezi miwili. Tofauti na hadithi za John Rutayisingwa tulizokuwa tukizisoma kwenye gazeti la Mzalendo,kila Jumapili, kabla hajahamia kwenye gazeti la Dimba na Rai.
Dunia imebadilika. Jiandae, malizia simulizi yako yote pembeni, kisha uilete hapa, yabaki maoni ya wasomaji. Na huko magazetini, kukatiza katiza simulizi, ni kwa ajili ya biashara, ili ununue tena gazeti lijalo. Sasa sijajua mleta simulizi hii, hii katiza katiza, zina lengo gani!
Mkuu mi mwenyewe huwa sipendi story za kukatisha, sema mambo yana ingiliana.

Mimi sio kama NUSU MAJIVU NUSU UVUMILIVU. Kkkkkkk
 
ukiachana na fursa za madini kuna fursa gani zingine mkuu.
Kibao tu, mfano warundi wanatukimbiza (Wabongo) kwa kolimo cha bustani tu.
Biashara yenyewe bado inalipa hasa ukiagiza nje.

Mikoa kama Nampula, Sofala (Beira) huko kote kibiashara kuna lipa. Nawabongo humo kote wapo.

Kiufupi fursa ziko nyingi, sema sisi wengine tushaamini kwenye madini, ndio tunachelewa.
 
Kibao tu, mfano warundi wanatukimbiza (Wabongo) kwa kolimo cha bustani tu.
Biashara yenyewe bado inalipa hasa ukiagiza nje.

Mikoa kama Nampula, Sofala (Beira) huko kote kibiashara kuna lipa. Nawabongo humo kote wapo.

Kiufupi fursa ziko nyingi, sema sisi wengine tushaamini kwenye madini, ndio tunachelewa.

Mkuu angalia pm yako
 
Mkuu mi mwenyewe huwa sipendi story za kukatisha, sema mambo yana ingiliana.

Mimi sio kama NUSU MAJIVU NUSU UVUMILIVU. Kkkkkkk
Mkuu, unanishangaza sana! Huu muda unaotumia kujibu comment zetu, si ungekuwa unasimulia kisa chako? Au ZANA unazotumia kusimulia hicho kisa ni tofauti na unachotumia kujibu maoni yetu?
 
Yule mwenzako mliopewa wote hivyo vibao yeye ilikuaje?
Mshikaji tulikuta tena mgodini, kipindi ambacho tayari nilikua nisha kirudisha kwa mwenyewe (mganga).
Yeye mwenyewe aliwachinja huko kwao kinoma, ndugu wa muhimu ni Shangazi yake na Bibi yake.
Nae pia walimtimua kijijini kwao, ila kwakuwa wanaishi wilaya moja na yule mzee, hivyo haikua jambo geni katika maeneo yao.
Wazee walimnyang'anya na kumfukuza.

Ila kwasasa kila mtu na lwake, sijui kama bado yuko hai ama vipi?
 
Back
Top Bottom