Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Nilifika kwa babu na kweli nilimkuta.
Wenyewe tunapenda kuitana somo.

Kwakua nikisafiligi huchukua hata miaka mitatu bila kuja Tanzania, hivyo somo wangu alikua na ham kinoma na mimi.

Tulisalimiana, akaniuliza kuhusiana na harakati zangu, nakuniuliza nimerudi lini kutoka Mocambique.
Nikamjibu nina kama week mbili hivi, ila hii safari anayo iona ni ya kurudi Mocambique.

Babu alishangaa, sababu sio kawaida yangu, maana nikija Tanzania hukaa hata miezi mitatu, tena zaidi nikirudigi na mgao mkubwa.

Baada ya story mbili tatu, kama kawaida nikamwambia babu kama masharti ya dawa inavyo takiwa.

Kwamba mi nina dawa ya uchawi, haitakiwi mtu kuchezea uchawi mpaka mimi nitakapo ondoka.

Babu yangu siku hiyo alichukia, na kuniambia kua mjukuu wangu hiyo ni shirk, wewe bado mdogo hayo mambo yatakudhuru.

Sikutaka hata kumuonyesha wala kumsimulia kilicho nikimbiza Dar, nikatulia kimya.

Usiku ukaingia nikaenda zangu kulala.
Kama kawaida yake, ilipo fika usiku mnene chumbani kukaanza kumwekua mwekua, yani nilijifunika shuka gubi gubi lakini ule umweku mweku niliendelea kuuona.

Hazikupita dakika nyingi, kama kawaida yake nikasikia Pah (ule ule mlio wa chupa iliyo pasuliwa) nikajua leo nime muua babu yangu kipenzi.

Siku lala nikawa nasikilizia kuitwa tu nipewe habar za kifo.
Nilisubilia kimya, siku sikia chochote, usingizi ukanipitia.

Asubuhi nilipo amka nikaenda mlangoni mwa chumba anacho lala bubu nikaita, mala bibi alitoka uwani akaniambia kuwa babu yako anaswali, nikashusha pumzi.

Nilikaa chumbani, sikutaka kuamini mpaka nimuone babu.
Dakika kama tano babu alimaza kuswali na kuniita.
Sijataka kulemba kabisa nikazama mfuko wa begi nikampa pesa babu yangu nakumuaga.

Kutoka Hanga mpaka Bungu, nilitumia kama dakika 20 tu kwa boda boda.
Nilivyo fika Bungu hata dakika hazikupita mara gali la IBRA hilo, nikadandia mpaka Newala.

Niko mnazi mmoja nikampigia simu babu, simu iliita bila majibu, nilirudia kama mala tatu hivi, bila mafanikio.

Newala nikaingia mida kama ya saa tisa ama saa kumi hivi jioni.
Nikicheki simu nakuta miss call ya babu.
Nika mpigia safari hii akapokea, kabla ya kuongea chochote nikamuuliza, Ulikua mazikoni? Babu akajibu ndio.

Tukaongea mambo mengine nikawa na muhadithia kuhusu shimo la Mungu lililopo hapa newala.
Mwisho wa maongezi akaniuliza nimejuaje kama alikua mazikoni?

Sikumpa jibu la maana zaidi ya kumzingua tu (huyu babu yangu ni zaidi ya rafiki yangu, ata jando, kanitairi yeye mwenyewe)

Nilikaa stendi kungojea boda boda, mala boda boda hiyo nikapanda.

Boda boda ile ilikua mizinguo kila tunapo kwenda inazima, nilifika boda saa moja usiku.

Kwa mida hiyo Magresheni upande wa Tanzania alikua kesha funga ofisi na kurudi Newala mjini, hivyo ilinibidi nilale pale.

Kile kijiji huwa nakisahau jina, ila kwa wenyeji wa Newala, ni kijijini chamwisho Tanzania kama unavuka njia ya Namatili.

Yeni ukiushuka mlima wa Nkunya, kuna kijiji hapa nimekisahau jina.

Basi pale kijijini nikapata u wenyeji, (tulio zoea safari hatulali nje) Kuna mshikaji ana kiosk chake, basi tukaanza kufamiana.

Na vijiji vingi vya mipakani hawamshangai mgeni, jamaa tukazoena ghafla, ukizingatia nina pesa ndio usiseme.

Jamaa alifanya biashara zake alipo funga akanichukua mpaka kwake, kwakua ilikua usiku basi alinitambulisha kwa mkewe tu, maana watu walikua wamesha lala.

Shemeji akaleta ugali, tukaugonga me na jamaa.
Tulipo maliza kula, kama kawaida yangu, nikampa maelezo yale ya ile kinga (Kinga)

Nikamwambia kua nina dawa ya uchawi, kwahiyo hatakiwi mtu kuchezea uchawi mpaka mimi nitakapo ondoka.
Mwenyeji wangu akuchukulia maanani.

Akanichukua mpaka chumba flani akanionyesha sehem ya kulala.

Siku mnene, chumba kukaanza kumwekua mwekua kama kawaida yake, kwakua nilisha zoea nikatulia kimya, huku nikijisemea kua lazima kesho niokote Kigomba.

Kama kawaida, nika sikia ule mlio Pah, nikajua tayari kesha nasa.

Nilivyo usikia ule mlio na dakika kupita na ule umweku mweku ukapotea, nausingi ukanipitia.


Hakukucha mara nasikia sauti ya shemeji akiongea na mumewe (mwenyeji wangu) waende wakamuite mzee gani sijui hapo jirani.
Mara nasikia sauti kibao hapo nje, kumbe hii nyumba wanaishi watu wengi.

Mwenyeji wangu yeye na kijana mmoja, inaonyesha ni mdogo wake ama shemeji yake, wakatoka kwenda kumuita huyo mzee, hazikupita dakika nyingi wakawa wamerejea na yule mzee.

NDUGU ZANGU KUANDIKA HABARI NDEFU NAKWAO KUNA CHOSHA. NIACHENI KWANZA NITARUDI.

ILA NAKARIBIA KUIMALIZA.
Mkuu hicho kibao ningekipata mm huju jtaan kwetu nahisi kila ck ingekuwa misiba!
 
Nilifika kwa babu na kweli nilimkuta.
Wenyewe tunapenda kuitana somo.

Kwakua nikisafiligi huchukua hata miaka mitatu bila kuja Tanzania, hivyo somo wangu alikua na ham kinoma na mimi.

Tulisalimiana, akaniuliza kuhusiana na harakati zangu, nakuniuliza nimerudi lini kutoka Mocambique.
Nikamjibu nina kama week mbili hivi, ila hii safari anayo iona ni ya kurudi Mocambique.

Babu alishangaa, sababu sio kawaida yangu, maana nikija Tanzania hukaa hata miezi mitatu, tena zaidi nikirudigi na mgao mkubwa.

Baada ya story mbili tatu, kama kawaida nikamwambia babu kama masharti ya dawa inavyo takiwa.

Kwamba mi nina dawa ya uchawi, haitakiwi mtu kuchezea uchawi mpaka mimi nitakapo ondoka.

Babu yangu siku hiyo alichukia, na kuniambia kua mjukuu wangu hiyo ni shirk, wewe bado mdogo hayo mambo yatakudhuru.

Sikutaka hata kumuonyesha wala kumsimulia kilicho nikimbiza Dar, nikatulia kimya.

Usiku ukaingia nikaenda zangu kulala.
Kama kawaida yake, ilipo fika usiku mnene chumbani kukaanza kumwekua mwekua, yani nilijifunika shuka gubi gubi lakini ule umweku mweku niliendelea kuuona.

Hazikupita dakika nyingi, kama kawaida yake nikasikia Pah (ule ule mlio wa chupa iliyo pasuliwa) nikajua leo nime muua babu yangu kipenzi.

Siku lala nikawa nasikilizia kuitwa tu nipewe habar za kifo.
Nilisubilia kimya, siku sikia chochote, usingizi ukanipitia.

Asubuhi nilipo amka nikaenda mlangoni mwa chumba anacho lala bubu nikaita, mala bibi alitoka uwani akaniambia kuwa babu yako anaswali, nikashusha pumzi.

Nilikaa chumbani, sikutaka kuamini mpaka nimuone babu.
Dakika kama tano babu alimaza kuswali na kuniita.
Sijataka kulemba kabisa nikazama mfuko wa begi nikampa pesa babu yangu nakumuaga.

Kutoka Hanga mpaka Bungu, nilitumia kama dakika 20 tu kwa boda boda.
Nilivyo fika Bungu hata dakika hazikupita mara gali la IBRA hilo, nikadandia mpaka Newala.

Niko mnazi mmoja nikampigia simu babu, simu iliita bila majibu, nilirudia kama mala tatu hivi, bila mafanikio.

Newala nikaingia mida kama ya saa tisa ama saa kumi hivi jioni.
Nikicheki simu nakuta miss call ya babu.
Nika mpigia safari hii akapokea, kabla ya kuongea chochote nikamuuliza, Ulikua mazikoni? Babu akajibu ndio.

Tukaongea mambo mengine nikawa na muhadithia kuhusu shimo la Mungu lililopo hapa newala.
Mwisho wa maongezi akaniuliza nimejuaje kama alikua mazikoni?

Sikumpa jibu la maana zaidi ya kumzingua tu (huyu babu yangu ni zaidi ya rafiki yangu, ata jando, kanitairi yeye mwenyewe)

Nilikaa stendi kungojea boda boda, mala boda boda hiyo nikapanda.

Boda boda ile ilikua mizinguo kila tunapo kwenda inazima, nilifika boda saa moja usiku.

Kwa mida hiyo Magresheni upande wa Tanzania alikua kesha funga ofisi na kurudi Newala mjini, hivyo ilinibidi nilale pale.

Kile kijiji huwa nakisahau jina, ila kwa wenyeji wa Newala, ni kijijini chamwisho Tanzania kama unavuka njia ya Namatili.

Yeni ukiushuka mlima wa Nkunya, kuna kijiji hapa nimekisahau jina.

Basi pale kijijini nikapata u wenyeji, (tulio zoea safari hatulali nje) Kuna mshikaji ana kiosk chake, basi tukaanza kufamiana.

Na vijiji vingi vya mipakani hawamshangai mgeni, jamaa tukazoena ghafla, ukizingatia nina pesa ndio usiseme.

Jamaa alifanya biashara zake alipo funga akanichukua mpaka kwake, kwakua ilikua usiku basi alinitambulisha kwa mkewe tu, maana watu walikua wamesha lala.

Shemeji akaleta ugali, tukaugonga me na jamaa.
Tulipo maliza kula, kama kawaida yangu, nikampa maelezo yale ya ile kinga (Kinga)

Nikamwambia kua nina dawa ya uchawi, kwahiyo hatakiwi mtu kuchezea uchawi mpaka mimi nitakapo ondoka.
Mwenyeji wangu akuchukulia maanani.

Akanichukua mpaka chumba flani akanionyesha sehem ya kulala.

Siku mnene, chumba kukaanza kumwekua mwekua kama kawaida yake, kwakua nilisha zoea nikatulia kimya, huku nikijisemea kua lazima kesho niokote Kigomba.

Kama kawaida, nika sikia ule mlio Pah, nikajua tayari kesha nasa.

Nilivyo usikia ule mlio na dakika kupita na ule umweku mweku ukapotea, nausingi ukanipitia.


Hakukucha mara nasikia sauti ya shemeji akiongea na mumewe (mwenyeji wangu) waende wakamuite mzee gani sijui hapo jirani.
Mara nasikia sauti kibao hapo nje, kumbe hii nyumba wanaishi watu wengi.

Mwenyeji wangu yeye na kijana mmoja, inaonyesha ni mdogo wake ama shemeji yake, wakatoka kwenda kumuita huyo mzee, hazikupita dakika nyingi wakawa wamerejea na yule mzee.

NDUGU ZANGU KUANDIKA HABARI NDEFU NAKWAO KUNA CHOSHA. NIACHENI KWANZA NITARUDI.

ILA NAKARIBIA KUIMALIZA.
[/QUOTEHahahaaha we jamaa.
Me naomba kuuliza. Kati ya Msumbiji na Congo wapi ni rahisi kwa mchimbaji wa madini kufanikiwa?
 
Nilifika kwa babu na kweli nilimkuta.
Wenyewe tunapenda kuitana somo.

Kwakua nikisafiligi huchukua hata miaka mitatu bila kuja Tanzania, hivyo somo wangu alikua na ham kinoma na mimi.

Tulisalimiana, akaniuliza kuhusiana na harakati zangu, nakuniuliza nimerudi lini kutoka Mocambique.
Nikamjibu nina kama week mbili hivi, ila hii safari anayo iona ni ya kurudi Mocambique.

Babu alishangaa, sababu sio kawaida yangu, maana nikija Tanzania hukaa hata miezi mitatu, tena zaidi nikirudigi na mgao mkubwa.

Baada ya story mbili tatu, kama kawaida nikamwambia babu kama masharti ya dawa inavyo takiwa.

Kwamba mi nina dawa ya uchawi, haitakiwi mtu kuchezea uchawi mpaka mimi nitakapo ondoka.

Babu yangu siku hiyo alichukia, na kuniambia kua mjukuu wangu hiyo ni shirk, wewe bado mdogo hayo mambo yatakudhuru.

Sikutaka hata kumuonyesha wala kumsimulia kilicho nikimbiza Dar, nikatulia kimya.

Usiku ukaingia nikaenda zangu kulala.
Kama kawaida yake, ilipo fika usiku mnene chumbani kukaanza kumwekua mwekua, yani nilijifunika shuka gubi gubi lakini ule umweku mweku niliendelea kuuona.

Hazikupita dakika nyingi, kama kawaida yake nikasikia Pah (ule ule mlio wa chupa iliyo pasuliwa) nikajua leo nime muua babu yangu kipenzi.

Siku lala nikawa nasikilizia kuitwa tu nipewe habar za kifo.
Nilisubilia kimya, siku sikia chochote, usingizi ukanipitia.

Asubuhi nilipo amka nikaenda mlangoni mwa chumba anacho lala bubu nikaita, mala bibi alitoka uwani akaniambia kuwa babu yako anaswali, nikashusha pumzi.

Nilikaa chumbani, sikutaka kuamini mpaka nimuone babu.
Dakika kama tano babu alimaza kuswali na kuniita.
Sijataka kulemba kabisa nikazama mfuko wa begi nikampa pesa babu yangu nakumuaga.

Kutoka Hanga mpaka Bungu, nilitumia kama dakika 20 tu kwa boda boda.
Nilivyo fika Bungu hata dakika hazikupita mara gali la IBRA hilo, nikadandia mpaka Newala.

Niko mnazi mmoja nikampigia simu babu, simu iliita bila majibu, nilirudia kama mala tatu hivi, bila mafanikio.

Newala nikaingia mida kama ya saa tisa ama saa kumi hivi jioni.
Nikicheki simu nakuta miss call ya babu.
Nika mpigia safari hii akapokea, kabla ya kuongea chochote nikamuuliza, Ulikua mazikoni? Babu akajibu ndio.

Tukaongea mambo mengine nikawa na muhadithia kuhusu shimo la Mungu lililopo hapa newala.
Mwisho wa maongezi akaniuliza nimejuaje kama alikua mazikoni?

Sikumpa jibu la maana zaidi ya kumzingua tu (huyu babu yangu ni zaidi ya rafiki yangu, ata jando, kanitairi yeye mwenyewe)

Nilikaa stendi kungojea boda boda, mala boda boda hiyo nikapanda.

Boda boda ile ilikua mizinguo kila tunapo kwenda inazima, nilifika boda saa moja usiku.

Kwa mida hiyo Magresheni upande wa Tanzania alikua kesha funga ofisi na kurudi Newala mjini, hivyo ilinibidi nilale pale.

Kile kijiji huwa nakisahau jina, ila kwa wenyeji wa Newala, ni kijijini chamwisho Tanzania kama unavuka njia ya Namatili.

Yeni ukiushuka mlima wa Nkunya, kuna kijiji hapa nimekisahau jina.

Basi pale kijijini nikapata u wenyeji, (tulio zoea safari hatulali nje) Kuna mshikaji ana kiosk chake, basi tukaanza kufamiana.

Na vijiji vingi vya mipakani hawamshangai mgeni, jamaa tukazoena ghafla, ukizingatia nina pesa ndio usiseme.

Jamaa alifanya biashara zake alipo funga akanichukua mpaka kwake, kwakua ilikua usiku basi alinitambulisha kwa mkewe tu, maana watu walikua wamesha lala.

Shemeji akaleta ugali, tukaugonga me na jamaa.
Tulipo maliza kula, kama kawaida yangu, nikampa maelezo yale ya ile kinga (Kinga)

Nikamwambia kua nina dawa ya uchawi, kwahiyo hatakiwi mtu kuchezea uchawi mpaka mimi nitakapo ondoka.
Mwenyeji wangu akuchukulia maanani.

Akanichukua mpaka chumba flani akanionyesha sehem ya kulala.

Siku mnene, chumba kukaanza kumwekua mwekua kama kawaida yake, kwakua nilisha zoea nikatulia kimya, huku nikijisemea kua lazima kesho niokote Kigomba.

Kama kawaida, nika sikia ule mlio Pah, nikajua tayari kesha nasa.

Nilivyo usikia ule mlio na dakika kupita na ule umweku mweku ukapotea, nausingi ukanipitia.


Hakukucha mara nasikia sauti ya shemeji akiongea na mumewe (mwenyeji wangu) waende wakamuite mzee gani sijui hapo jirani.
Mara nasikia sauti kibao hapo nje, kumbe hii nyumba wanaishi watu wengi.

Mwenyeji wangu yeye na kijana mmoja, inaonyesha ni mdogo wake ama shemeji yake, wakatoka kwenda kumuita huyo mzee, hazikupita dakika nyingi wakawa wamerejea na yule mzee.

NDUGU ZANGU KUANDIKA HABARI NDEFU NAKWAO KUNA CHOSHA. NIACHENI KWANZA NITARUDI.

ILA NAKARIBIA KUIMALIZA.
😂😂😂😂😂😂
Dah!!
Mkuu unamweukamweuka sana.
 
Nilifika kwa babu na kweli nilimkuta.
Wenyewe tunapenda kuitana somo.

Kwakua nikisafiligi huchukua hata miaka mitatu bila kuja Tanzania, hivyo somo wangu alikua na ham kinoma na mimi.

Tulisalimiana, akaniuliza kuhusiana na harakati zangu, nakuniuliza nimerudi lini kutoka Mocambique.
Nikamjibu nina kama week mbili hivi, ila hii safari anayo iona ni ya kurudi Mocambique.

Babu alishangaa, sababu sio kawaida yangu, maana nikija Tanzania hukaa hata miezi mitatu, tena zaidi nikirudigi na mgao mkubwa.

Baada ya story mbili tatu, kama kawaida nikamwambia babu kama masharti ya dawa inavyo takiwa.

Kwamba mi nina dawa ya uchawi, haitakiwi mtu kuchezea uchawi mpaka mimi nitakapo ondoka.

Babu yangu siku hiyo alichukia, na kuniambia kua mjukuu wangu hiyo ni shirk, wewe bado mdogo hayo mambo yatakudhuru.

Sikutaka hata kumuonyesha wala kumsimulia kilicho nikimbiza Dar, nikatulia kimya.

Usiku ukaingia nikaenda zangu kulala.
Kama kawaida yake, ilipo fika usiku mnene chumbani kukaanza kumwekua mwekua, yani nilijifunika shuka gubi gubi lakini ule umweku mweku niliendelea kuuona.

Hazikupita dakika nyingi, kama kawaida yake nikasikia Pah (ule ule mlio wa chupa iliyo pasuliwa) nikajua leo nime muua babu yangu kipenzi.

Siku lala nikawa nasikilizia kuitwa tu nipewe habar za kifo.
Nilisubilia kimya, siku sikia chochote, usingizi ukanipitia.

Asubuhi nilipo amka nikaenda mlangoni mwa chumba anacho lala bubu nikaita, mala bibi alitoka uwani akaniambia kuwa babu yako anaswali, nikashusha pumzi.

Nilikaa chumbani, sikutaka kuamini mpaka nimuone babu.
Dakika kama tano babu alimaza kuswali na kuniita.
Sijataka kulemba kabisa nikazama mfuko wa begi nikampa pesa babu yangu nakumuaga.

Kutoka Hanga mpaka Bungu, nilitumia kama dakika 20 tu kwa boda boda.
Nilivyo fika Bungu hata dakika hazikupita mara gali la IBRA hilo, nikadandia mpaka Newala.

Niko mnazi mmoja nikampigia simu babu, simu iliita bila majibu, nilirudia kama mala tatu hivi, bila mafanikio.

Newala nikaingia mida kama ya saa tisa ama saa kumi hivi jioni.
Nikicheki simu nakuta miss call ya babu.
Nika mpigia safari hii akapokea, kabla ya kuongea chochote nikamuuliza, Ulikua mazikoni? Babu akajibu ndio.

Tukaongea mambo mengine nikawa na muhadithia kuhusu shimo la Mungu lililopo hapa newala.
Mwisho wa maongezi akaniuliza nimejuaje kama alikua mazikoni?

Sikumpa jibu la maana zaidi ya kumzingua tu (huyu babu yangu ni zaidi ya rafiki yangu, ata jando, kanitairi yeye mwenyewe)

Nilikaa stendi kungojea boda boda, mala boda boda hiyo nikapanda.

Boda boda ile ilikua mizinguo kila tunapo kwenda inazima, nilifika boda saa moja usiku.

Kwa mida hiyo Magresheni upande wa Tanzania alikua kesha funga ofisi na kurudi Newala mjini, hivyo ilinibidi nilale pale.

Kile kijiji huwa nakisahau jina, ila kwa wenyeji wa Newala, ni kijijini chamwisho Tanzania kama unavuka njia ya Namatili.

Yeni ukiushuka mlima wa Nkunya, kuna kijiji hapa nimekisahau jina.

Basi pale kijijini nikapata u wenyeji, (tulio zoea safari hatulali nje) Kuna mshikaji ana kiosk chake, basi tukaanza kufamiana.

Na vijiji vingi vya mipakani hawamshangai mgeni, jamaa tukazoena ghafla, ukizingatia nina pesa ndio usiseme.

Jamaa alifanya biashara zake alipo funga akanichukua mpaka kwake, kwakua ilikua usiku basi alinitambulisha kwa mkewe tu, maana watu walikua wamesha lala.

Shemeji akaleta ugali, tukaugonga me na jamaa.
Tulipo maliza kula, kama kawaida yangu, nikampa maelezo yale ya ile kinga (Kinga)

Nikamwambia kua nina dawa ya uchawi, kwahiyo hatakiwi mtu kuchezea uchawi mpaka mimi nitakapo ondoka.
Mwenyeji wangu akuchukulia maanani.

Akanichukua mpaka chumba flani akanionyesha sehem ya kulala.

Siku mnene, chumba kukaanza kumwekua mwekua kama kawaida yake, kwakua nilisha zoea nikatulia kimya, huku nikijisemea kua lazima kesho niokote Kigomba.

Kama kawaida, nika sikia ule mlio Pah, nikajua tayari kesha nasa.

Nilivyo usikia ule mlio na dakika kupita na ule umweku mweku ukapotea, nausingi ukanipitia.


Hakukucha mara nasikia sauti ya shemeji akiongea na mumewe (mwenyeji wangu) waende wakamuite mzee gani sijui hapo jirani.
Mara nasikia sauti kibao hapo nje, kumbe hii nyumba wanaishi watu wengi.

Mwenyeji wangu yeye na kijana mmoja, inaonyesha ni mdogo wake ama shemeji yake, wakatoka kwenda kumuita huyo mzee, hazikupita dakika nyingi wakawa wamerejea na yule mzee.

NDUGU ZANGU KUANDIKA HABARI NDEFU NAKWAO KUNA CHOSHA. NIACHENI KWANZA NITARUDI.

ILA NAKARIBIA KUIMALIZA.
Ahsante,Nafuatilia Kama movie [emoji16][emoji16]
 
Boa tarde camaradas.

Tembea uyaone, zunguka ujifunze.

Hivyo ndivyo ninavyoanza kwa leo.

Mara nyingi nimekua msomaji tu humu ndani, ila leo kuna topic nimeisoma humu ndani iliyo nishawishi na mimi leo niandike.

Katika harakati zangu za kutafuta maisha nilijikuta naangukia Mocambique. Mocambique sikwenda kuajiriwa bali ni kuchimba madini (Ruby).

Nakumbuka huku nilikutana na Rafiki yangu anaeitwa Carlos. Mshikaji tulijuana kutokana na kufanya nae kazi (kuchimba) mara kwa mara.

Katika harakati zetu mara nyingi tulikuwa watu wa kuporora (hatupati madini)

Siku moja Carlos akanishauri twende kijijini kwao Shapa (wilaya ya Mueda, mkoa Cabo del Gado) kuna mzee ni mganga anaweza kutusaidia katika haraka zetu. Carlos yeye ni Mmakonde chale.

Baada ya kufika kijijini Shapa, Carlos akinichukua mpaka nyumbani kwa mganga (Mzee LUPATU)

Tulifika kwa mzee, tukamueleza shida yetu, na mzee akakubali kutupa dawa (ya madini). Siku ya tatu tukageuka kurudi mgodini (Nanhupo, wilaya ya Montepuez, mkoa Cabo del Gado)

Hatukumaliza wiki mbili, tukapata Gram moja na point saba (Ruby) tukaenda kulitikisa (kuuza) kwa Mtailendi.

Tukapata mgao kila mtu $17,500. US dollar. Kwa muda huo nilijikuta na Milioni thalathini sita na usheee hivi.

Baada ya mgao wetu, tukaamua kwenda kumpa shukrani yake mzee wetu (Mzee LUPATU) tena ukizingatia kutoka Mueda kwenda Namatili (boda) sio mbali, na ndio njia ambayo ninaitumia kuvuka kutoka Mocambique kuja Tanzania.

Tulifika kwa mzee LUPATU tukampa shukrani, na kila mtu akampa yule mzee 50,000 miticaish.

Baada ya shukrani, yule mzee akatuomba tulale pale kwake kisha kesho tuondoke, maana kuna kinga anataka kutupa.

Hakuna aliekataa, tulibaki pale kama alivyotaka babu yetu.

Kilipoingia kiza babu alikuja na ndoo iliyo jaa maji yenye dawa (niliona mizizi na majani ndani ya yale maji) akatuogesha kisha tukaingia kilingeni kwake. Akatoa vibao vidogo viwili, vye pembe nne, mfano wa kibiriti.

Vibao vile upande mmoja wa kibao kulikua kama kimechorwa msalaba kwa kuchongwa. Tukaamuliwa tuchanjwe damu, then damu ile ilipitishwa mule kwenye mistari iliyo chongwa kama msalaba.

Tulipomaliza zoezi lile, kila mtu akapewa kibao chake na kuruhusiwa kwenda kulala.

Kabla ya kwenda kulala mzee alitupa masharti ya dawa ile, akatuambia hii ndio LUPATU Wajukuu zangu, hamtarogwa na mtu yoyote kwenye dunia hii. Akatuambia lakini dawa hii ina masharti.

1 Usiende nayo kwenye shughuli yoyote ile, iwe harusi ama maziko.

2 Ukifika popote (ugenini) unatakiwa uwaambie wenyeji kuwa una kinga dhidi ya uchawi, hivyo hairuhusiwi kwa mtu yeyote kugusa uchawi mpaka utakapo ondoka.

3 Ukitaka kulala na mwanamke, iache nje (nje ya mlango)

Chengine, alituambia kuwa, hiyo dawa inafanya kazi umbali wa nyumba kumi kutoka kushoto, nyumba kumi kulia, nyumba kumi mbele ya nyumba, nyumba kumi nyuma ya nyumba.


Siku iliyo fuata mimi na Carlos tukaondoka, kila mtu akielekea kwao.

Carlos nilimuacha kwao Mueda, mimi nikavuka boda nikaingia nyumbani Tanzania. Nilipofika home, nikawaambia ndugu zangu hasa watu wazima. Pale home, mzee kuliko wote ni mama yangu mkubwa.

Hii ni nyumba ya familia (akina mama wamerithi nyumba ya baba yao) Kuna watu wengi sana.

Basi baada ya mapokezi, uchovu wa safari ilinibidi nipumzike kidogo (nililala)

Nilivyoamka jua lilikua limeshazama, hivyo jioni ilisha ingia.
Nikatumia muda huo kuwaambia wale waliokuwepo siku hiyo.
Nakumbuka alikua Mama mkubwa, dada yangu wa kwanza kuzaliwa, Mjomba pamoja na madogo walio kuwepo hapo.

Nilinza kwa kuwaambia kuwa nina dawa ya uchawi, hivyo kama kuna mchawi basi asichezee uchawi wake mpaka mimi nitakapoondoka.

Niliongea kimasihara kwakua nilitegemea nyumbani hakuna mchawi.

Mama yangu mkubwa akaomba nimuoneshe hiyo kinga (dawa).
Nikaingia mfukoni nikakitoa kile kibao. Kila mtu alicheka na kusema Mocambique wanaamini sana uchawi.

Usiku uliingia na kila mmoja akaenda zake kulala.

Siku ya pili palipokucha nikaelekea zangu Karikoo, kwenda kuchenji Dollar zangu. (Kariakoo Bazar )

Siku hiyo nakumbuka nilikula sana mtungi, nikarudi home usiku sana kama mida ya saa sita hivi usiku.
Nilipo fika home, kwa uchovu wa pombe nikajilaza kitandani, mara hazikupita dakika nyingi nikaanza kuona chumba kina mwekua mwekua, yani kama mtu kashika kioo anakizungusha mule ndani.

Nikaamka, mara ya kwanza nilidhani ni pombe labda, lakini jinsi muda ulivyokua unaenda ile hali ndio ilikua inazidi.

Ilipita kama dakika 20 hivi huku ile hali ya kumulika ikiendelea, mara nikasikia Pah! Yani kama mtu kapasua chupa ya bia vile.

Baada ya ule mlio, ule mwanga wa kioo mule ndani ukapotea.
Usingizi ulinichuka mpaka asubuhi.

Cha ajabu naamka asubuhi nakuta watu pale home wamejawa na huzuni, nilivyouliza naambiwa mama yako mkubwa kaanguka jana usiku mlangoni kwake akitokea chooni, hivyo kawaishwa hospital Temeke.

Samahani ndugu zangu.
Hii story nilipanga kuimaliza leo leo, ila kuna hudhuru imenikuta, hivyo nitaimalizia baadae ama kesho.
Naomba munisamehe.

Kwakua chenji nilikua
lupatuuu
 
Boa tarde camaradas.

Tembea uyaone, zunguka ujifunze.

Hivyo ndivyo ninavyoanza kwa leo.

Mara nyingi nimekua msomaji tu humu ndani, ila leo kuna topic nimeisoma humu ndani iliyo nishawishi na mimi leo niandike.

Katika harakati zangu za kutafuta maisha nilijikuta naangukia Mocambique. Mocambique sikwenda kuajiriwa bali ni kuchimba madini (Ruby).

Nakumbuka huku nilikutana na Rafiki yangu anaeitwa Carlos. Mshikaji tulijuana kutokana na kufanya nae kazi (kuchimba) mara kwa mara.

Katika harakati zetu mara nyingi tulikuwa watu wa kuporora (hatupati madini)

Siku moja Carlos akanishauri twende kijijini kwao Shapa (wilaya ya Mueda, mkoa Cabo del Gado) kuna mzee ni mganga anaweza kutusaidia katika haraka zetu. Carlos yeye ni Mmakonde chale.

Baada ya kufika kijijini Shapa, Carlos akinichukua mpaka nyumbani kwa mganga (Mzee LUPATU)

Tulifika kwa mzee, tukamueleza shida yetu, na mzee akakubali kutupa dawa (ya madini). Siku ya tatu tukageuka kurudi mgodini (Nanhupo, wilaya ya Montepuez, mkoa Cabo del Gado)

Hatukumaliza wiki mbili, tukapata Gram moja na point saba (Ruby) tukaenda kulitikisa (kuuza) kwa Mtailendi.

Tukapata mgao kila mtu $17,500. US dollar. Kwa muda huo nilijikuta na Milioni thalathini sita na usheee hivi.

Baada ya mgao wetu, tukaamua kwenda kumpa shukrani yake mzee wetu (Mzee LUPATU) tena ukizingatia kutoka Mueda kwenda Namatili (boda) sio mbali, na ndio njia ambayo ninaitumia kuvuka kutoka Mocambique kuja Tanzania.

Tulifika kwa mzee LUPATU tukampa shukrani, na kila mtu akampa yule mzee 50,000 miticaish.

Baada ya shukrani, yule mzee akatuomba tulale pale kwake kisha kesho tuondoke, maana kuna kinga anataka kutupa.

Hakuna aliekataa, tulibaki pale kama alivyotaka babu yetu.

Kilipoingia kiza babu alikuja na ndoo iliyo jaa maji yenye dawa (niliona mizizi na majani ndani ya yale maji) akatuogesha kisha tukaingia kilingeni kwake. Akatoa vibao vidogo viwili, vye pembe nne, mfano wa kibiriti.

Vibao vile upande mmoja wa kibao kulikua kama kimechorwa msalaba kwa kuchongwa. Tukaamuliwa tuchanjwe damu, then damu ile ilipitishwa mule kwenye mistari iliyo chongwa kama msalaba.

Tulipomaliza zoezi lile, kila mtu akapewa kibao chake na kuruhusiwa kwenda kulala.

Kabla ya kwenda kulala mzee alitupa masharti ya dawa ile, akatuambia hii ndio LUPATU Wajukuu zangu, hamtarogwa na mtu yoyote kwenye dunia hii. Akatuambia lakini dawa hii ina masharti.

1 Usiende nayo kwenye shughuli yoyote ile, iwe harusi ama maziko.

2 Ukifika popote (ugenini) unatakiwa uwaambie wenyeji kuwa una kinga dhidi ya uchawi, hivyo hairuhusiwi kwa mtu yeyote kugusa uchawi mpaka utakapo ondoka.

3 Ukitaka kulala na mwanamke, iache nje (nje ya mlango)

Chengine, alituambia kuwa, hiyo dawa inafanya kazi umbali wa nyumba kumi kutoka kushoto, nyumba kumi kulia, nyumba kumi mbele ya nyumba, nyumba kumi nyuma ya nyumba.


Siku iliyo fuata mimi na Carlos tukaondoka, kila mtu akielekea kwao.

Carlos nilimuacha kwao Mueda, mimi nikavuka boda nikaingia nyumbani Tanzania. Nilipofika home, nikawaambia ndugu zangu hasa watu wazima. Pale home, mzee kuliko wote ni mama yangu mkubwa.

Hii ni nyumba ya familia (akina mama wamerithi nyumba ya baba yao) Kuna watu wengi sana.

Basi baada ya mapokezi, uchovu wa safari ilinibidi nipumzike kidogo (nililala)

Nilivyoamka jua lilikua limeshazama, hivyo jioni ilisha ingia.
Nikatumia muda huo kuwaambia wale waliokuwepo siku hiyo.
Nakumbuka alikua Mama mkubwa, dada yangu wa kwanza kuzaliwa, Mjomba pamoja na madogo walio kuwepo hapo.

Nilinza kwa kuwaambia kuwa nina dawa ya uchawi, hivyo kama kuna mchawi basi asichezee uchawi wake mpaka mimi nitakapoondoka.

Niliongea kimasihara kwakua nilitegemea nyumbani hakuna mchawi.

Mama yangu mkubwa akaomba nimuoneshe hiyo kinga (dawa).
Nikaingia mfukoni nikakitoa kile kibao. Kila mtu alicheka na kusema Mocambique wanaamini sana uchawi.

Usiku uliingia na kila mmoja akaenda zake kulala.

Siku ya pili palipokucha nikaelekea zangu Karikoo, kwenda kuchenji Dollar zangu. (Kariakoo Bazar )

Siku hiyo nakumbuka nilikula sana mtungi, nikarudi home usiku sana kama mida ya saa sita hivi usiku.
Nilipo fika home, kwa uchovu wa pombe nikajilaza kitandani, mara hazikupita dakika nyingi nikaanza kuona chumba kina mwekua mwekua, yani kama mtu kashika kioo anakizungusha mule ndani.

Nikaamka, mara ya kwanza nilidhani ni pombe labda, lakini jinsi muda ulivyokua unaenda ile hali ndio ilikua inazidi.

Ilipita kama dakika 20 hivi huku ile hali ya kumulika ikiendelea, mara nikasikia Pah! Yani kama mtu kapasua chupa ya bia vile.

Baada ya ule mlio, ule mwanga wa kioo mule ndani ukapotea.
Usingizi ulinichuka mpaka asubuhi.

Cha ajabu naamka asubuhi nakuta watu pale home wamejawa na huzuni, nilivyouliza naambiwa mama yako mkubwa kaanguka jana usiku mlangoni kwake akitokea chooni, hivyo kawaishwa hospital Temeke.

Samahani ndugu zangu.
Hii story nilipanga kuimaliza leo leo, ila kuna hudhuru imenikuta, hivyo nitaimalizia baadae ama kesho.
Naomba munisamehe.

Kwakua chenji nilikua
duh.. tupe na hadithi nyingine mze
 
Nilifika kwa babu na kweli nilimkuta.
Wenyewe tunapenda kuitana somo.

Kwakua nikisafiligi huchukua hata miaka mitatu bila kuja Tanzania, hivyo somo wangu alikua na ham kinoma na mimi.

Tulisalimiana, akaniuliza kuhusiana na harakati zangu, nakuniuliza nimerudi lini kutoka Mocambique.
Nikamjibu nina kama week mbili hivi, ila hii safari anayo iona ni ya kurudi Mocambique.

Babu alishangaa, sababu sio kawaida yangu, maana nikija Tanzania hukaa hata miezi mitatu, tena zaidi nikirudigi na mgao mkubwa.

Baada ya story mbili tatu, kama kawaida nikamwambia babu kama masharti ya dawa inavyo takiwa.

Kwamba mi nina dawa ya uchawi, haitakiwi mtu kuchezea uchawi mpaka mimi nitakapo ondoka.

Babu yangu siku hiyo alichukia, na kuniambia kua mjukuu wangu hiyo ni shirk, wewe bado mdogo hayo mambo yatakudhuru.

Sikutaka hata kumuonyesha wala kumsimulia kilicho nikimbiza Dar, nikatulia kimya.

Usiku ukaingia nikaenda zangu kulala.
Kama kawaida yake, ilipo fika usiku mnene chumbani kukaanza kumwekua mwekua, yani nilijifunika shuka gubi gubi lakini ule umweku mweku niliendelea kuuona.

Hazikupita dakika nyingi, kama kawaida yake nikasikia Pah (ule ule mlio wa chupa iliyo pasuliwa) nikajua leo nime muua babu yangu kipenzi.

Siku lala nikawa nasikilizia kuitwa tu nipewe habar za kifo.
Nilisubilia kimya, siku sikia chochote, usingizi ukanipitia.

Asubuhi nilipo amka nikaenda mlangoni mwa chumba anacho lala bubu nikaita, mala bibi alitoka uwani akaniambia kuwa babu yako anaswali, nikashusha pumzi.

Nilikaa chumbani, sikutaka kuamini mpaka nimuone babu.
Dakika kama tano babu alimaza kuswali na kuniita.
Sijataka kulemba kabisa nikazama mfuko wa begi nikampa pesa babu yangu nakumuaga.

Kutoka Hanga mpaka Bungu, nilitumia kama dakika 20 tu kwa boda boda.
Nilivyo fika Bungu hata dakika hazikupita mara gali la IBRA hilo, nikadandia mpaka Newala.

Niko mnazi mmoja nikampigia simu babu, simu iliita bila majibu, nilirudia kama mala tatu hivi, bila mafanikio.

Newala nikaingia mida kama ya saa tisa ama saa kumi hivi jioni.
Nikicheki simu nakuta miss call ya babu.
Nika mpigia safari hii akapokea, kabla ya kuongea chochote nikamuuliza, Ulikua mazikoni? Babu akajibu ndio.

Tukaongea mambo mengine nikawa na muhadithia kuhusu shimo la Mungu lililopo hapa newala.
Mwisho wa maongezi akaniuliza nimejuaje kama alikua mazikoni?

Sikumpa jibu la maana zaidi ya kumzingua tu (huyu babu yangu ni zaidi ya rafiki yangu, ata jando, kanitairi yeye mwenyewe)

Nilikaa stendi kungojea boda boda, mala boda boda hiyo nikapanda.

Boda boda ile ilikua mizinguo kila tunapo kwenda inazima, nilifika boda saa moja usiku.

Kwa mida hiyo Magresheni upande wa Tanzania alikua kesha funga ofisi na kurudi Newala mjini, hivyo ilinibidi nilale pale.

Kile kijiji huwa nakisahau jina, ila kwa wenyeji wa Newala, ni kijijini chamwisho Tanzania kama unavuka njia ya Namatili.

Yeni ukiushuka mlima wa Nkunya, kuna kijiji hapa nimekisahau jina.

Basi pale kijijini nikapata u wenyeji, (tulio zoea safari hatulali nje) Kuna mshikaji ana kiosk chake, basi tukaanza kufamiana.

Na vijiji vingi vya mipakani hawamshangai mgeni, jamaa tukazoena ghafla, ukizingatia nina pesa ndio usiseme.

Jamaa alifanya biashara zake alipo funga akanichukua mpaka kwake, kwakua ilikua usiku basi alinitambulisha kwa mkewe tu, maana watu walikua wamesha lala.

Shemeji akaleta ugali, tukaugonga me na jamaa.
Tulipo maliza kula, kama kawaida yangu, nikampa maelezo yale ya ile kinga (Kinga)

Nikamwambia kua nina dawa ya uchawi, kwahiyo hatakiwi mtu kuchezea uchawi mpaka mimi nitakapo ondoka.
Mwenyeji wangu akuchukulia maanani.

Akanichukua mpaka chumba flani akanionyesha sehem ya kulala.

Siku mnene, chumba kukaanza kumwekua mwekua kama kawaida yake, kwakua nilisha zoea nikatulia kimya, huku nikijisemea kua lazima kesho niokote Kigomba.

Kama kawaida, nika sikia ule mlio Pah, nikajua tayari kesha nasa.

Nilivyo usikia ule mlio na dakika kupita na ule umweku mweku ukapotea, nausingi ukanipitia.


Hakukucha mara nasikia sauti ya shemeji akiongea na mumewe (mwenyeji wangu) waende wakamuite mzee gani sijui hapo jirani.
Mara nasikia sauti kibao hapo nje, kumbe hii nyumba wanaishi watu wengi.

Mwenyeji wangu yeye na kijana mmoja, inaonyesha ni mdogo wake ama shemeji yake, wakatoka kwenda kumuita huyo mzee, hazikupita dakika nyingi wakawa wamerejea na yule mzee.

NDUGU ZANGU KUANDIKA HABARI NDEFU NAKWAO KUNA CHOSHA. NIACHENI KWANZA NITARUDI.

ILA NAKARIBIA KUIMALIZA.
[emoji1787][emoji1787] Usiache kitu we shusha episode izo stori yako inasisimua ata ukimaliza wiki ijayo freah, Ila Dah Iyo Kinga ilikuwa balaaaa fanya mpango tupate kibao icho haiwezekani we unajilinda af wenyewe wakushobokee acha wafee
 
Back
Top Bottom