Igweeee......Na VIP umepata hayo madini(utajiri/hela) baada ya kufanya makufuru yote hayo mkuu.?..out of curiosity!
Demu wangu wa zamani ni ubini wake huu sijui nimtafute!?Lupatu jina la mkoa wa Tanga
Habari mkuu !Igweeee......
Kumbe ni kweli haya mamboSio wote.
Wapo wanaochimba na kupata kwa bahati zao, ila wanachelewa kupata.
Ila kiukweli ili uishinde kesi ya madini lazima ukufuru.
Binafs nishalala makabulini, nishafukua maiti za watu, yote ni kutafuta madini tu.
Mungu anisameh.
Madini nishapata sana.Na VIP umepata hayo madini(utajiri/hela) baada ya kufanya makufuru yote hayo mkuu.?..out of curiosity!
Maana yangu inabaki pale pale hata kama ni maza!Mkuu mchawi humjui, wenda hata Bimkubwa akawa mchawi ila usimjue.
Nimempoteza mama yangu mkubwa kizembe tu, naamini yeye hakuwa na nia ya kuniroga ila ile kinga ni marufuku kwa mtu kuchezea uchawi nilipo kuwepo mimi.
Kwahiyo wenda mama mkubwa alikua na harakati zake, sema dawa ikamvuta kama sumaku.
Weee ishia hapohapo.Sio wote.
Wapo wanaochimba na kupata kwa bahati zao, ila wanachelewa kupata.
Ila kiukweli ili uishinde kesi ya madini lazima ukufuru.
Binafs nishalala makabulini, nishafukua maiti za watu, yote ni kutafuta madini tu.
Mungu anisameh.
WayaoHuyo Miquesone, sio mmakonde.
Tatizo wa Tanzania tumekalili kila atokae Mocambique ni mmakonde.
Mocambique ina makabila mengi na huwezi amini wamakonde ni wachache kinoma.
Niliambulia nyumba tu, ipo chamanzi mfenesini. Pesa nyingine nililia bata.
Mkuu Utamalizia mkasa wetu saa ngapi nikae tayari?!Wayao (Jaua) hawa wanapatikana lichinga, nao pia hawako wengi Mocambique.
Mocambique wengi ni Wamakua (Nampula, Cabo del Gado) Maxangana (Gaza na Maputo) wakifutiwa kidogo na Macena, hawa wanapatikana Manica.
Msumbiji na Malawi uchawi upo sana.Mkuu mimi sio mganga wa kienyeji.
Mimi ni mchimbaji, na mpaka hapa ninapo andika niko zangu Mwatizi, wilaya ya Mwatizi, mkoa wa Tete ,Mocambique, bado naendelea na kulisaka jiwe.
Mkuu kumbe ukiwa machimboni madini huwa hayapatikani bila uchawi?Mshana hajui uchawi, ila anazijua story za kichawi tu. Watu tunachezea uchawi kila siku.
Kama nakuongopea muulize, keshawahi kufukua maiti iliyo zikwa miezi mitatu iliyo pita?
Wengine tusha pagawa na haya maisha, mtuache tu.
😮😮😮😮Kaka Jabiri fanya urudi basi hapa nyumbani Mkuranga hali ya kimaisha si nzuri,anko anataabika.Huko Msumbuji umeenda mazima maana wachimbaji mna 'mambo majinga' sana.Unakumbuka ule mwaka uliopota ruby nyingi..wakakunyang'anya,wakakupiga.Kaka Jabiri rudi!
OoohoooooKaka Jabiri fanya urudi basi hapa nyumbani Mkuranga hali ya kimaisha si nzuri,anko anataabika.Huko Msumbuji umeenda mazima maana wachimbaji mna 'mambo majinga' sana.Unakumbuka ule mwaka uliopota ruby nyingi..wakakunyang'anya,wakakupiga.Kaka Jabiri rudi!