Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Hadi Hanga unakujua? We Mndengereko pure.
Bungu, Kimbindu, Mlanzi, Machipi, Hanga, Tomoni, Mahege, Nyanjati n.k lol
 
Mkuu nipe ramani nikamtafute huyo mzee maana nakaribia kuhama mji wachawi wanasumbua si mchezo.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Panda gari ya Newala, ukishuka newala stand utachukua boda boda ziendazo Nkunya.
Boda boda itakuchukua mpaka mpakani, utagonga paspoti upande wa Tanzania, hivyo safari ya boda boda Itaendelea mpaka Ruvuma.

Ruvuma utapanda mtumbwi utakao kuvusha mpaka ng'ambo ya mto.

Ng'ambo ya mto utaikuta magresheni ya Mocambique, hapo napo utagonga paspoti yako.

Hapo Magresheni ya Mocambique utakutana na gari za mpakani, itakayo kupeleka mpaka Mueda (wilaya ya kwanza, ya mkoa wa Cabo del Gado ukitokea newala)

Mweda ukimuuliza mtu yeyote kua unakwenda Shapa kwa mzee LUPATU, hata mtoto mdogo atakupeleka.
 
Babu yako Hanga, we mzee itakuwa nakujua sema tu ndo vile.
 
Hadi Hanga unakujua? We Mndengereko pure.
Bungu, Kimbindu, Mlanzi, Machipi, Hanga, Tomoni, Mahege, Nyanjati n.k lol
Babu usimalizie, we ni wa nyumbani kabisa.
Mama yangu kwao ni Mlanzi (kwa baba yake)
Bungu ni kwa mama yake.

Baba yangu mzazi kwao Hanga, kwa baba yake.
Nahapo tomoni nisha fikaga kitambo kipindi nikiwa chade.
 
Mimi na kupenda kusikiliza story, Hizi habari Baba Angu mdogo ni mmakonde wa Del gado alishawahi kuniambiaga huko kwao zipo za dawa unatembea nayo popote utakapoenda basi nyumba 10 wajue hawawangi.
Zingine unapikwa kwenye pipa la maji ya moto yanayochemka[emoji23] Nyie uchawi upo
 
Babu usimalizie, we ni wa nyumbani kabisa.
Mama yangu kwao ni Mlanzi (kwa baba yake)
Bungu ni kwa mama yake.

Baba yangu mzazi kwao Hanga, kwa baba yake.
Nahapo tomoni nisha fikaga kitambo kipindi nikiwa chade.
Mimi nimewahi kuishi na kufanya kazi maeneo hayo. Huyo mzee babu yako pengine namjua. Umesema alikua ngariba? Dah sio Samatta kweli?[emoji23]
 
Sasa hiyo unayo tembea nayo na mchawi hatambi nyumba kumi, ndio hiyo LUPATU.
Dada, hiyo hata mchawi apite zake tu (akiwa na uchawi mfukoni) lazima imvute.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…