Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mm nakuomba malizia hiki kisaMkuu hiyo 2016, kabla hawaja tutimua Nanhupo.
Ok, sio kesi mkuu.. Nadhan had muda huu unajibu comments zetu bac hakikisha unau-update uzi mkasa wako ukamilike.Mkuu hii sio story ya kutunga kama Eric shigongo.
Baada ya kusoma post ya mshikaji, nikaamasika kuandika kisa kilicho nikuta maishani mwangu (kutokana na mashwala ya nguvu za kiza) mara kipindi naandika katokea mshikaji kaanza kuni bughudhi (kaja na dali za kitaa) nika shindwa kumalizia.
Alifariki kwa mkasa huo alioupata usiku ule?Ma mkubwa alishaa kufaga.
Hapo si ndiyo stronghold ya ISIS?, Wanaendeleaje?Mkuu mimi sio mganga wa kienyeji.
Mimi ni mchimbaji, na mpaka hapa ninapo andika niko zangu Mwatizi, wilaya ya Mwatizi, mkoa wa Tete ,Mocambique, bado naendelea na kulisaka jiwe.