sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,496
- 8,491
Wajinga sana wachawi wanavuruga sana watu.ina mwekua mwekua..
ila uchawi ni science ya hali ya juu sana...everything is calculated and in time..
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga sana wachawi wanavuruga sana watu.ina mwekua mwekua..
ila uchawi ni science ya hali ya juu sana...everything is calculated and in time..
.
Count me in pls pls. Tufanyeni december kuanzia tarehe 18Ni mbali wanasema ina chukua week kufika,pia inaweza fanya urahisi wa usafir tukiwa wengi
Huyu bi likunji ni wa wapiiDuu wakuu Wa lupatu kwani na ngende kwa bibi Likunji hapafui dafu mpaka msumbiji kweli ama tunaenda kuitafuta ruby
Sawa mkuu ngoja T11,Jimena tupangeCount me in pls pls. Tufanyeni december kuanzia tarehe 18
Halafu huyu Kitoabu atakuwa anajua mengi sanaSawa mkuu ngoja T11,Jimena tupange
Sana tu maana ni muhangaika kutokana na aina ya kazi yakeHalafu huyu Kitoabu atakuwa anajua mengi sana
Unaruhusiwa kuamini chochote. Lakini ukweli si lazima uendane na unachoamini.Binafsi naamini kitu nachokiona
Nimeshashuhudia vitu vya ajabu kweli
Umeandika marefu lakini matupuUnaruhusiwa kuamini chochote. Lakini ukweli si lazima uendane na unachoamini.
Hata unachokiona, au unachodhani unakiona, si lazima kiwe kweli.
Mathalani, unaweza kumuona Bob Marley anaimba kwenye concert, kwenye TV, ukasema huyu mtu yupo anaimba.
Kumbe alishafariki siku nyingi.
Kwa mtu asiyeelewa TV inavyofanya kazi, kumuelezea kwamba mtu aliyefariki miaka mingi anaweza kuonekana anaimba mbele yake ni kama uchawi.
Ukienda jangwani, kuna sehemu huko katikati ya jangwa ambako hakuna maji, kutokana na mwanga unavyoakisiwa, panaonekqna kutoka mbali kama pana chemchemi ya maji (mirage).
Unaona kabisa pale pana maji, unayakimbilia. Ukifika unakuta hakuna kitu.
Kwa hiyo hata unachoona hakihakikishi kwamba kitu kipo, unaweza kuona kitu ambacho hakipo.
Na unaweza kuona kitu cha ajabu, kwa sababu hukijui tu, ukasema uchawi.
Kama yule babu ambaye hajui TV inafanya kazi vipi anashangaa watu wanaongea kwenye kibox, anaona uchawi tu.
Kumbe kuna maelezo ambayo hayahusishi uchawi.
Muandishi wa riwaya za kisayansi wa Kiingereza Arthur C. Clarke, aliandika "Any sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic".
Babu zetu walioishi miaka 200 iliyopita ungewaonesha ndege zinavyoruka leo, na tunavyowasiliana kwenye internet, wangesema ni uchawi.
Kumbe physics tu.
Unajuaje unachofikiri wewe kuwa ni uchawi leo ni uchawi kweli na si kukosa maarifa kwako tu?
Kwani safari inatarajiwa kuwa lini? Siku zikikaribia ndio tuunde group ili watu wasije choka kabla ya safariWaendaji tuanzishe uzi au tuunde group?
Sitaki kuamini, nataka kujua.Umeandika marefu lakini matupu
Ukweli ni kwamba unaweza kuona na kisiwepo lakini unaweza kuona na kikawepo
Umechagua kuamini nilichokiona hakipo nimechagua kuamini nilichokiona kipo
Unataka urogwe ili uamini?
Maana kwa mtazamo wako unataka ushahidi usio na chembe ya mashaka
Sio lazima uamini au ujueSitaki kuamini, nataka kujua.
Hapo ndipo ilipo tofauti yangu mimi na wewe.
Unaweza kuthibitisha uchawi upo, watu wajue?
Kuamini ni haki yako ya kikatiba, unaruhusiwa kuamini vya kweli na uongo.
Tuongelee ukweli, facts, vitu vinavyothibitishika.
Si hadithi za kuaminika.
Uchawi ni nini?
Unajuaje huu ni uchawi, na hii hapa michezo ya kisaikolojia ya karata tatu tu?
Unaweza kuthibitisha uchawi upo?
Issue hapa si mimi au wewe.Sio lazima uamini au ujue
Kuamini au kutoamini kwako hakuna athari yoyote
Kwani wewe si Kiranga tu au mwenzetu unajionaje[emoji3][emoji3]
ngoja niisceenshot hii coment, maana wamezidi manina hawa watu hatulai mchana tuhangaike na mikazi migumu, usiku tunataka tupumzike wao nao wanakuja kutupumzikia sisi. FunkeeeePanda gari ya Newala, ukishuka newala stand utachukua boda boda ziendazo Nkunya.
Boda boda itakuchukua mpaka mpakani, utagonga paspoti upande wa Tanzania, hivyo safari ya boda boda Itaendelea mpaka Ruvuma.
Ruvuma utapanda mtumbwi utakao kuvusha mpaka ng'ambo ya mto.
Ng'ambo ya mto utaikuta magresheni ya Mocambique, hapo napo utagonga paspoti yako.
Hapo Magresheni ya Mocambique utakutana na gari za mpakani, itakayo kupeleka mpaka Mueda (wilaya ya kwanza, ya mkoa wa Cabo del Gado ukitokea newala)
Mweda ukimuuliza mtu yeyote kua unakwenda Shapa kwa mzee LUPATU, hata mtoto mdogo atakupeleka.
Elimu magharibi imekuharibuIssue hapa si mimi au wewe.
Issue ni, ukweli uko wapi na njozi tupu ziko wapi.
Na hili linajibiwa kwa uthibitisho.
Na hujathibitisha kwamba uchawi upo kweli.
In fact, hata huja define uchawi ni nini.
Hujathibitisha uchawi upo.Elimu magharibi imekuharibu
Definition za kazi gani hapa?
Wachawi wana uwezo huo wa kukufafanulia lakini kwa kuwa ilishachukuliwa kwa mtazamo hasi hakuna mtu atajitokeza akwambie
Uthibitisho uliobaki urogwe tu
Mbona hili unalikwepa?
Sema tukuroge acha mboyoyo[emoji3]
Wale jamaa wa ISIS wako jimbo gani kwani?Kwani safari inatarajiwa kuwa lini? Siku zikikaribia ndio tuunde group ili watu wasije choka kabla ya safari
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hamna cha ISIS wala nini hizo huwa ni stori tu, uhalisia huwa ni mdogo sanaWale jamaa wa ISIS wako jimbo gani kwani?