Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
Kwa Africa naweza kusema ndo the leading aka number one celebrity anayefanya vizuri si tu kwenye filamu hadi kwenye fashion bidada ni nouma, kashafanya kazi za matangazo na makampuni kibao uko USA.
I wish FLAVIANA MATATA could do the same, sababu sioni ambacho lupita anacho ambacho Dada yetu Flaviana hana, ukizingatia wote wana muonekano sawa, wana access ya kukutana na watu maarufu duniani na wote wametokea East Africa.
hapo kwenye blue you are very wrong, Flaviana Matata ni Mtanzania (african) Lupita Nyong'o ni Mmexico. and once you are mexican, American or Canadian you can swim easily in America kwa sababu ya Free Trade Area - NAFTA
soma hapa kuhusu Lupita: Lupita Nyong'o - Wikipedia, the free encyclopedia