asaprichie
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 297
- 238
inaitwaje iyo mvalibanduliwa mle ktk ile muvi, afu kila saa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inaitwaje iyo mvalibanduliwa mle ktk ile muvi, afu kila saa...
12 years a slaveMovie gani hiyo?
Hii ya kidume kutopokea simu nimecheka kwa sauti [emoji23][emoji23][emoji23]Why awe 'luckiest man alive'?
sababu ya umaarufu?
alikuwa kidem cha kawaida sana juzi juzi tu wakati anaigiza Suga ..series ya MTVbase
nna hisi wapo walio hit n run kipindi hiko...
mtu kuwa maarugu hakumfanyi awe 'special'
inawezekana kuna kidume huko Nairobi hakipokei simu zake vile vile
'amevumilia'?
Mmea gani?Kuna mtu anayeishi bila mmea?
Mi najua kuna ambao hawali nyama, lakini wote mmea tunakula.
Najua inakuuma lakini sema tu. Sema mKenya, Bongo lala akili duniHuyu m Mexico ananimaliza sana mapigo yake. Akifungua mdomo kuongea utajua kasoma Yale kweli, sio kapita tu shule.
The blacker the berry the sweeter the juice
Why awe 'luckiest man alive'?
sababu ya umaarufu?
alikuwa kidem cha kawaida sana juzi juzi tu wakati anaigiza Suga ..series ya MTVbase
nna hisi wapo walio hit n run kipindi hiko...
mtu kuwa maarugu hakumfanyi awe 'special'
inawezekana kuna kidume huko Nairobi hakipokei simu zake vile vile
Na babake ni senator Kisumu Kenya pamoja nyumba zao huko Kisumu city Na Nairobi Kenya. Pia Mimi napenda sana huyu mkenya kutoka Kijiji cha Mexico Kenya. Mwaaaa kwa wanakijiji wa Mexico kenyaHuyu m Mexico ananimaliza sana mapigo yake. Akifungua mdomo kuongea utajua kasoma Yale kweli, sio kapita tu shule.
Heee!Labda anamaanisha marija[emoji116][emoji116]![]()