Pre GE2025 Lusinde: CCM na Vyama vya Upinzani ni kama mjukuu na babu, hakuna ugomvi kati yao ila ukifika uchaguzi wakae pembeni

Pre GE2025 Lusinde: CCM na Vyama vya Upinzani ni kama mjukuu na babu, hakuna ugomvi kati yao ila ukifika uchaguzi wakae pembeni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Katika Mkutano wa Msigwa unaofanyika leo Julai 20, 2024 Iringa Mjini Lusinde amesema;

"CCM na vyama vya upinzani ni kama babu na mjuu, hakuna ugomvi kati yao.

"Mjukuu anaweza kucheka anavyotaka na mjukuu wake, kama babu ana mapengo mjukuu anaweza kuingiza mpaka vidole kwenye mapengo yake, babu anacheka hana shida, anacheka na mjukuu wake

"Mjukuu akishika (sehemu za siri) lazima ale kofi. Kwahiyo wao wacheze na mikutano ya hadhara, waimbe nyimbo zao lakini ikifika kwenye uchaguzi wa kijiji, diwani, ubunge na Urais watoe mikono.

"Huawezi kuruhusu mjukuu wako afikir kiwango hicho!"
 
Huo ndo ukweli wenyewe....nyie chadema fanyeni mikutano ili mjilipe posho Ila linapokuja swala la uchaguzi hakuna atakae wachagua
 
Back
Top Bottom