Lusinde Kibajaji umeitisha press kuzungumzia sakata la DP World kama nani?

Lusinde Kibajaji umeitisha press kuzungumzia sakata la DP World kama nani?

Magufuli 05

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2023
Posts
1,433
Reaction score
2,791
1. Je wewe ni msemaji wa Serikali?
2. Je, wewe ni afisa uhusiano wa TPA?
3. Ni msemaji wa chama tawala?
4. Je wewe ni msemaji wa Bunge na kamati zake?
5. Twambie wewe ni nani?

Huoni kama ni unatetea kwa nguvu Sana kitu kilichotiliwa mashaka na Watanzania?

Si ungesubiri Bungeni June 10, ukaongea kama mbunge akiwa Bungeni?

Mimi sijakuelewa zaidi nimeona ama ni kiherehere,au umetumwa au chawa ama hutuheshimu Watanzania kama nasi tunauelewa na tunajua mambo.

Porojo kama hizi zungumza mambo yanayohusu migongano ndani ya chama chako na si maslahi ya nchi
Hili SAKATA LA bandari we are watching you na tupo makini mno kuliko unavyodhani MH.

Naipenda Tanzania 🇹🇿
 
1. Je wewe ni msemaji wa serikali?
2. Je, wewe ni afisa uhusiano wa TPA?
3. Ni msemaji wa chama tawala?
4. Je wewe ni msemaji wa Bunge na kamati zake?
5. Twambie wewe ni nani?
Huoni kama ni unatetea kwa nguvu Sana kitu kilichotiliwa mashaka na Watanzania?
Si ungesubiri Bungeni June 10, ukaongea kama mbunge akiwa Bungeni?
Mimi sijakuelewa zaidi nimeona ama ni kiherehere,au umetumwa au chawa ama hutuheshimu Watanzania kama nasi tunauelewa na tunajua mambo.
Porojo kama hizi zungumza mambo yanayohusu migongano ndani ya chama chako na si maslahi ya nchi
Hili SAKATA LA bandari we are watching you na tupo makini mno kuliko unavyodhani MH.
Naipenda Tanzania 🇹🇿
Anajipendekeza kwa Saa 100; amuone anampigania yeye na serikali kali yake, ili 2025 asikatwe kwenye ubunge
 
1. Je wewe ni msemaji wa serikali?
2. Je, wewe ni afisa uhusiano wa TPA?
3. Ni msemaji wa chama tawala?
4. Je wewe ni msemaji wa Bunge na kamati zake?
5. Twambie wewe ni nani?
Huoni kama ni unatetea kwa nguvu Sana kitu kilichotiliwa mashaka na Watanzania?
Si ungesubiri Bungeni June 10, ukaongea kama mbunge akiwa Bungeni?
Mimi sijakuelewa zaidi nimeona ama ni kiherehere,au umetumwa au chawa ama hutuheshimu Watanzania kama nasi tunauelewa na tunajua mambo.
Porojo kama hizi zungumza mambo yanayohusu migongano ndani ya chama chako na si maslahi ya nchi
Hili SAKATA LA bandari we are watching you na tupo makini mno kuliko unavyodhani MH.
Naipenda Tanzania [emoji1241]
Huyu kibajaji ni takataka......
 
Kwani hao akini bon yai ni wasemaj wa serikali? Heshimuni Uhuru wa maoni wa kila mtu
 
Senior member,asante KWA onyo!!
LAKINI Mwinyi junior wakati anakodisha kisiwa huko mbona mlikaa kimya!!?

Tuanzie hapo Mkuu!!
Namba moja ajaye kwenye hili SAKATA tumeguswa pakubwa mno. Unajua vile muungano wetu umekata, kule siye hatuna mamlaka, nikwambie ni Rais wa JMT tu ndiye anaweza gusa kule Tena kwa tahadhari.
 
Ndiyo aina ya wapuuzi waliokabidhiwa dhamana inayozidi uwezo wao wa kufikiri.
Watu wanaounga mkono&kupongeza kila kitu,pasi kujiridhisha.
Hii ni mbaya kwa taifa.
 
Senior member,asante KWA onyo!!
LAKINI Mwinyi junior wakati anakodisha kisiwa huko mbona mlikaa kimya!!?

Tuanzie hapo Mkuu!!
How old are you??
Anyway ngoja nikujibu.

Tulikua tunaongelea kwenye vijiwe vya kahawa na kumtumia barua via post,!! Jamiiforums haikuepo

Next question
 
1. Je wewe ni msemaji wa serikali?
2. Je, wewe ni afisa uhusiano wa TPA?
3. Ni msemaji wa chama tawala?
4. Je wewe ni msemaji wa Bunge na kamati zake?
5. Twambie wewe ni nani?
Huoni kama ni unatetea kwa nguvu Sana kitu kilichotiliwa mashaka na Watanzania?
Si ungesubiri Bungeni June 10, ukaongea kama mbunge akiwa Bungeni?
Mimi sijakuelewa zaidi nimeona ama ni kiherehere,au umetumwa au chawa ama hutuheshimu Watanzania kama nasi tunauelewa na tunajua mambo.
Porojo kama hizi zungumza mambo yanayohusu migongano ndani ya chama chako na si maslahi ya nchi
Hili SAKATA LA bandari we are watching you na tupo makini mno kuliko unavyodhani MH.
Naipenda Tanzania 🇹🇿
Kwani kibajaji kasema nini. Hua namuamini. Isije leo akawa upande wa walamba asali🤣
 
Ukiona serk ya ccm ba hsa wabunge wake wanajitokeza kutetea kitu kwa nguvu zote bas ujue kuna uozo mkubwa sn ndan yake na ukiona hali hio ujue ishakula kwetu hio mana na wao wanatujua jins watz tulivo mapoyoyo
Kaz yetu kubwa ni kufatilia ujinga wa simba na yanga na kuacha mambo ya msingi ya nchi
 
1. Je wewe ni msemaji wa serikali?
2. Je, wewe ni afisa uhusiano wa TPA?
3. Ni msemaji wa chama tawala?
4. Je wewe ni msemaji wa Bunge na kamati zake?
5. Twambie wewe ni nani?
Huoni kama ni unatetea kwa nguvu Sana kitu kilichotiliwa mashaka na Watanzania?
Si ungesubiri Bungeni June 10, ukaongea kama mbunge akiwa Bungeni?
Mimi sijakuelewa zaidi nimeona ama ni kiherehere,au umetumwa au chawa ama hutuheshimu Watanzania kama nasi tunauelewa na tunajua mambo.
Porojo kama hizi zungumza mambo yanayohusu migongano ndani ya chama chako na si maslahi ya nchi
Hili SAKATA LA bandari we are watching you na tupo makini mno kuliko unavyodhani MH.
Naipenda Tanzania [emoji1241]
Huyu ni Bingwa wa kujipendekeza, Bahati mbaya anatumia wale raia wake wa Mtela kama mtaji,
 
Back
Top Bottom