Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buguruni malapa.Hyo press iko wapi Ni kaisambaratishe
Hawa ndio watu Magufuli aliwataka ili waje wapitishe katiba ya kumpa ufalme wa molele Tanganyika matokeo yake yamekua tofauti... wanampa DP world milki ya milele ya Tanganyika.1. Je wewe ni msemaji wa serikali?
2. Je, wewe ni afisa uhusiano wa TPA?
3. Ni msemaji wa chama tawala?
4. Je wewe ni msemaji wa Bunge na kamati zake?
5. Twambie wewe ni nani?
Huoni kama ni unatetea kwa nguvu Sana kitu kilichotiliwa mashaka na Watanzania?
Si ungesubiri Bungeni June 10, ukaongea kama mbunge akiwa Bungeni?
Mimi sijakuelewa zaidi nimeona ama ni kiherehere,au umetumwa au chawa ama hutuheshimu Watanzania kama nasi tunauelewa na tunajua mambo.
Porojo kama hizi zungumza mambo yanayohusu migongano ndani ya chama chako na si maslahi ya nchi
Hili SAKATA LA bandari we are watching you na tupo makini mno kuliko unavyodhani MH.
Naipenda Tanzania 🇹🇿
Frustrations. Hili jambo limewavuruga1. Je wewe ni msemaji wa serikali?
2. Je, wewe ni afisa uhusiano wa TPA?
3. Ni msemaji wa chama tawala?
4. Je wewe ni msemaji wa Bunge na kamati zake?
5. Twambie wewe ni nani?
Huoni kama ni unatetea kwa nguvu Sana kitu kilichotiliwa mashaka na Watanzania?
Si ungesubiri Bungeni June 10, ukaongea kama mbunge akiwa Bungeni?
Mimi sijakuelewa zaidi nimeona ama ni kiherehere,au umetumwa au chawa ama hutuheshimu Watanzania kama nasi tunauelewa na tunajua mambo.
Porojo kama hizi zungumza mambo yanayohusu migongano ndani ya chama chako na si maslahi ya nchi
Hili SAKATA LA bandari we are watching you na tupo makini mno kuliko unavyodhani MH.
Naipenda Tanzania 🇹🇿
Wamekaa kimya wazanzibar siyo sisiSenior member,asante KWA onyo!!
LAKINI Mwinyi junior wakati anakodisha kisiwa huko mbona mlikaa kimya!!?
Tuanzie hapo Mkuu!!
Walisema watu wengi tuSenior member,asante KWA onyo!!
LAKINI Mwinyi junior wakati anakodisha kisiwa huko mbona mlikaa kimya!!?
Tuanzie hapo Mkuu!!