Lusinde Kibajaji umeitisha press kuzungumzia sakata la DP World kama nani?

Tanganyikaaaaaaaaa,Tanganyikaaaaaaaaa! Nakuita Tanganyikaaaaaaaaa itika Basi Tanganyikaaaaaaaaaaaaa auwiiiiiiii wameanza huku kutufunga minyororo ya utumwa ,njoo Tanganyika Leo usisubiri kesho
 
Si mbunge na raia ana haki ya kutoa maoni
 
Anadhani watanzania wote akili zetu kama zake kwa kuwa yeye ni chawa anataka nasi tuwe na akili za kindezi kama zake.
 
Lusinde sio chawa tu ni mbwa koko na ni lofa la kutupwa
 
Lusinde na Msukuma ni wazee wa kazi chafu, kutokana na elimu yao duni ni rahisi sana kujitoa ufahamu
 
Hawa ndio watu Magufuli aliwataka ili waje wapitishe katiba ya kumpa ufalme wa molele Tanganyika matokeo yake yamekua tofauti... wanampa DP world milki ya milele ya Tanganyika.

Hopeless creatures!
 
Frustrations. Hili jambo limewavuruga
 
Hili jambo la Bandar ni zito sana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…