Nakuelewa mkuu.
Hapo kwenye kanuni ndio shida ilipo, wizara zinajificha kwenye kanuni.
Kama wawakilishi wa wananchi wangekua makini basi wangeweka floor na glass ceiling that no body is allowed to break, hata kama kanuni zinatungwa basi zifuate sheria hiyo yenye ceiling.
Sasa wabunge hawajui waziri atakuja kuwatoza wananchi zao kiasi gani huoni hapo kuna shida?
Yaani wabunge wamekua surprised kama sisi wananchi, hao ni wabunge ama genge la wahuni?
Maana yake ukimuuliza mbunge wako uliweka sahihi kwa niamba yangu mwananchi nitozwe kiasi gani, hajui, sasa alipitisha nini?