Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Hatukumnyonga, tulipitisha tu hukumu ya kunyongwa.Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (MNEC) na Mbunge wa Mvumi mkoani Dodoma, Livingstone Lusinde amefunguka kuhusu makato ya miamala katika simu za mikononi ambapo amedai Bunge wao walipitisha sheria na kiwango kilipagwa na Waziri wa Fedha.
View attachment 1879248
Tozo itawatoa madarakaniMjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (MNEC) na Mbunge wa Mvumi mkoani Dodoma, Livingstone Lusinde amefunguka kuhusu makato ya miamala katika simu za mikononi ambapo amedai Bunge wao walipitisha sheria na kiwango kilipagwa na Waziri wa Fedha.
View attachment 1879248
Mkuu asante kwa ufafanuzi, hata hivyo changamoto ya hizo tozo haikutokana na kwamba Wabunge kupitisha sheria tu bali kinachoonekana ni kutokuwa na Wabunge wanaoweza kufanya uchambuzi wa kimantiki (Critical Analysis) ili kujua effects za sheria wanayoitunga.Nakuelewa mkuu.
Hapo kwenye kanuni ndio shida ilipo, wizara zinajificha kwenye kanuni.
Kama wawakilishi wa wananchi wangekua makini basi wangeweka floor na glass ceiling that no body is allowed to break, hata kama kanuni zinatungwa basi zifuate sheria hiyo yenye ceiling.
Sasa wabunge hawajui waziri atakuja kuwatoza wananchi zao kiasi gani huoni hapo kuna shida?
Yaani wabunge wamekua surprised kama sisi wananchi, hao ni wabunge ama genge la wahuni?
Maana yake ukimuuliza mbunge wako uliweka sahihi kwa niamba yangu mwananchi nitozwe kiasi gani, hajui, sasa alipitisha nini?
Kibajaji kumbe kama akili kuliko waliosoma zaidi yake na wengine ma bosi wakeMjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (MNEC) na Mbunge wa Mvumi mkoani Dodoma, Livingstone Lusinde amefunguka kuhusu makato ya miamala katika simu za mikononi ambapo amedai Bunge wao walipitisha sheria na kiwango kilipagwa na Waziri wa Fedha.
View attachment 1879248
Hilo swala halihitaji hata akiliKibajaji kumbe kama akili kuliko waliosoma zaidi yake na wengine ma bosi wake
Tuliwaambia kuwa nyinyi wabunge wa CCM, kazi yenu pekee ni kupiga makofi kwa kuyaunga mkono yale yote yanayoletwa na serikali, hata kama yataleta madhara makubwa Sana kwa wananchi.Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (MNEC) na Mbunge wa Mvumi mkoani Dodoma, Livingstone Lusinde amefunguka kuhusu makato ya miamala katika simu za mikononi ambapo amedai Bunge wao walipitisha sheria na kiwango kilipagwa na Waziri wa Fedha.
View attachment 1879248
Wao kama wabunge hawakuuliza wizara kiwango cha makato?
Waliipa wizara kupanga viwango wanavyotaka?
Sasa walijadili nini kama hawakujua viwango vitakavyokatwa?
Ni sawa na uweke signature kwenye open cheque halafu umpe ruhusa mhasibu aandike kiwango anachotaka, atafanya anavyotaka tu na lawama zitakurudia wewe ulieweka sahihi.
Mbona Mwigula na Nduguyo hawakuwa wakazi kwenye hili wakaegemea kwenye sheria ya BungeHilo swala halihitaji hata akili