Luteni Ian Kagame

I hope it will work. Huko nyuma mambo mengi yameshindikana. Na what if hatafika 2034?
 
Baadae PK akaamua kumrudi Rwiyigema. Tamaa ya madaraka
 
Rwiyigema alikuwa ni rafiki mkubwa sana wa kaka yake M7, General Swalehe. walipigana vita wote Mozambique wakiwa kama watu wa kule. Hii ilikuwa wakati wa ukombozi.
Hata kurudi Uganda baada ya mapinduzi ya 1986, Rwiyigema ndio alikuwa ADC wa M7. PK ana roho ngumu sana
 
Interesting
 
Afrika yote ni moja. Rushwa na kung'ang'ania madaraka kupo pale pale.

Wapi kuna nafuu? Kwetu msoga boys wamejaa tele. Uganda kama kawa, Kenya nao tuchekane wapi?

Kenya washapita huko tulikobaki sisi. Uhuru na ushawishi wake wote alishindwa kupindua matokeo kum_favor Odinga. Na unaijua nguvu ya Rais kwa katiba zetu mbovu.
 
Kwa hiyo jamaa ni kama kalazimishwa kuwa na binti Kagame!? Inawezekana aliogopa kurudishwa Burundi.
 
Ni wazi hawa wa huku Tz walishakuwa intergrated na ku_settle. Hawakutaka tena maisha ya usumbufu wa aina yoyote.
 
Nyerere yeye ndio hakutaka kurithisisha watoto wake Urais, au sio!? Alikuwa bwege, au unaonaje!?
 
Kenya washapita huko tulikobaki sisi. Uhuru na ushawishi wake wote alishindwa kupindua matokeo kum_favor Odinga. Na unaijua nguvu ya Rais kwa katiba zetu mbovu.

Mkuu hii Afrika isikie tu:

 
Of course ndio iko hivyo. Hawa wachache haiingii akilini wawatawale walio wengi na kuigeuza kuwa nchi yao.
 
HAPO KAMA.HUYO.MTOTO N WAKE NA MAMA PEMBENI
MJOMBA AKACHK DNA WALLAHI
 
AMEFANANA NA BAABA YAKE WOOOH
NYC E COLOUR
 

Attachments

  • Screenshot_20221214-160012.png
    315.3 KB · Views: 17
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…