Luteni Ian Kagame

Mjukuuu kashaulaa kablaaa ajasomaa aisee wenye nyota zaooo tuendelee kupanga tuwarithishe watoto jinsi ya kulipa kodi on tym kwa wenye house zao na tusiwasumbue wasije aibika
 

kwa akili ya mafundisho ya kilokole kutoka mchungaji mwamposa, unaweza dhani kwa kufanya hivyo, PK ana roho ya upendo na moyo wa huruma sana.

ila kwa sisi tuliosoma cuba ya buza magengeni,hapo PK kaiweka hiyo familia kwenye circle yake ili iwe rahisi kuidhibiti, ku monitor idealogy yao, agenda zao na mienendo yao.ni mbinu nzuri ya kudeal na warithi wa adui yako ambaye ulishiriki kuondoa uhai wake.
 
Hahahaaa, dah bongo kweli mnawadharau warundi na kuwatukuza wanyarwanda, ila uhalisia hauko hivyo
 
Nchi za kifalme hizo

Wanajua bila kuwa mwanajeshi huwezi kuzitawala.

Ndio maana watoto wanapelekwa jeshini kwanza then wanarithi nchi

..Husseni Mwinyi alipomaliza form 6 hakujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria.

..lakini ameshakuwa waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa, raisi wa Zanzibar, na kuna mipango ya kumfanya raisi wa muungano.
 
Nani mwenye ushahidi kama aliitungua yeye?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sio Kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…