wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
[emoji16][emoji16] mapunga wapo Russia wakiongozwa na mabalozi wa US/EU na staffs wao walioko pale Moscow.Uzuri Vodka zipo,zitafanya kazi yake mujarabu[emoji16][emoji16]Jibu swali,Russia hakuna mashoga?
Mkuu, kuna taarifa ya kwamba alijiua mwenyewe,lakini hii ya kujirusha kwenye umeme ina uzito pia kwa sababu jamaa aliwahi kujipiga risasi ikapita pembeni kidogo ya Moyo,baba yake alimdharau sana mwanae kwamba ameshindwa hata kujitoa uhaiMtoto wa Stalin hakuuawawa na Nazi kwa maamuzi yao. Stalin alimtuma aende vitani frontline. Kule akatekwa, Ujerumani kugundua mtoto wa Stalin katekwa Hitler akatuma ujumbe mbiombio kwa furaha akimtaka Stalin wafanye prisoner exchange USSR imuachie Field Marshall Friedrich Paulus aliyejisalimisha kwenye mapigano makali sana na mwanzo wa Ujerumani kushindwa ya Stalingrad. Field Marshall Paulus alikuwa ndio wa kwanza wa cheo chake kujisalimisha kwenye jeshi la Ujerumani, hata angerudishwa its likely angeuwawa kwa kulitia aibu jeshi lao.
Stalin alisema siwezi badilishana Field Marshall na Lieutenant. Mwanae alijitupa kwenye uzio wa umeme alikokuwa ametekwa akapigwa risasi hapo
[emoji16][emoji16] toka hapo nje ya nyumba kisha angalia juu na ujipige pige kifua Kisha useme kwa sauti 'hakika mashabiki wa US/EU/NATO Ni mazuzu magic".Mzee kama una ndugu wa karibu Mwambie akupeleke Kwa mwanasaikolojia...una tatizo unahitaji kusaidiwa
Vyombo vya nchi zinazojiita Ni za kidemokrasia hizo.Toa wewe itatosha sana mkuu ... Hata CNN,BBC,sky hawatoi habari nzuri za Urusi ... Sooo ukijipa jukumu la kutoa habari za Ukraine utakuwa umefanya la maana kuliko kulalamika
Sasa kama ameshatekwa kipi kishindikane kumuua we Mmarekani mweusi toka Mwabepande [emoji848]Kama Putin anaubavu amuue Kama Qassim Suleiman alivyouwawa
Ky jelly😂[emoji16][emoji16][emoji16] sleepy Joe anasemaje khs mapunga? Anasema kilainishi kipi kinawafaa kipindi hiki? [emoji16][emoji16]
Haileti unafuu wowote dhidi ya uhalisia wa Putin kudharirika Ukraine,hakuna cha General wa US kutekwa wala nini lakini ni kweli Magenerals wa Russia wamepukutika Ukraine hadi RT ikaonyesha mazishi yao
Si tuliwaambia RUSSIA anapigana vita na mataifa zaidi ya 30 (NATO) ila mlishupaza shingo zenu sababu ya mahaba niue toka kwa mabeberu wa USA na EU [emoji848]kumbe kuna magenarali wa US wapo wanamzingua Putin hapo Ukraine ndio maana kashindwa kuteka miji ya maana kaishia kuizunguka Kyiv mwezi mzima
Weka hapa video yake akikanusha toka Turkey ili tuamini haya maneno yako basi [emoji23]Wabongo bhana huyo General Mwenyewe yuko Turkey na kaisha kanusha kitambo humu watu ni league
Unaweza ukakuta kichwa chenyewe kina uwalaza na ushaambiwa akili ni nywele. [emoji23]Hebu tuwekee source yako hapa ambapo kamanda Putin alisema wataikuchukua Ukraine ndani ya siku 3,na ukishindwa kuweka source then toka hapo nje ya nyumba kisha angalia juu na ujipige pige kifua huku ukisema kwa sauti " hakika Mimi nilipewa kichwa kwa ajili ya kufugia nywele.".
Wewe mbona hujaweka video akitekwa?Weka hapa video yake akikanusha toka Turkey ili tuamini haya maneno yako basi [emoji23]
Hifadhi Kwanza maneno yako...na ikiwa ni kweli utasema Nini?!?!Pentagon hawana taarifa ila ww secretary wa Putin wa Tandahimba tayari taarifa unazo,
Hongera
Wamabaki kujitekenya na kucheka wenyewe.Jamaa kumbe hajatekwa, kuna mwamba ameleta mpaka link humu. Hii ngoma imekuwa nzito warusi kuicheza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vita si vikoba broo, na kwa akili zako tu hata za kuvukia barabara ikiwa kila unachoambiwa huwa huchunguzi kabla ya kuamini basi utakuwa una tatizo mahali flani kwenye ubongo wakoDa' Nyamizi, inaonekana hadi leo Ukraine haijageuka majivu eti? Wakati tuliambiwa siku tatu!
[emoji1787][emoji1787] JF sing'oki kamwe [emoji38][emoji28]Hebu tuwekee source yako hapa ambapo kamanda Putin alisema wataikuchukua Ukraine ndani ya siku 3,na ukishindwa kuweka source then toka hapo nje ya nyumba kisha angalia juu na ujipige pige kifua huku ukisema kwa sauti " hakika Mimi nilipewa kichwa kwa ajili ya kufugia nywele.".