Luteni Jenerali wa ngazi ya juu wa Urusi, Igor Kirillov auawa kwa bomu lililotegwa kwenye ‘scooter’

Yesu Kristo kamwe hatafanya Amani kama wahusika hawaihitaji amani hiyo. Halizimishwi mtu hapa. Yani waathirika wenyewe hawana ushirikiano, hawamsikilizi huyo Yesu na wala hawaoneshi juhudi zozote za kuisaka hiyo amani. Sasa kwa nini kumsumbua Yesu eti afanye amani? Njia walioichagua wao kwa hiiari yao, Yesu hawezi kuwalazimisha kitu tofauti. Sana sana atawaacha na muda ukipita ndo watajifunza na kuighairi njia hiyo. Ukisoma Mathayo 7: 7-8 inamaanisha lazima zifanyike juhudi za makusudi (binafsi au jamii) ili kukipata kile tunachahitaji. Ukilala au ukilaza damu utabaki kama ulivyo.
 
Nawabs hii issue ingetokea Iran sifa Za Mossadi zingemiminika kila Kona
 
Upuuzi ya kujipa matumaimi hewa
Upuuzi upi!?
Hizo ndio lugha zinazotumika kwa makamanda Though matokeo ni yale yale.
Kwa mfano huwezi kusema binadamu amekufa
Au ng'ombe amefariki
Binadamu anafariki
Ng'ombe anakufa
Jitahidini kielewa hv vitu vidogo vidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…