Luxury Cars stolen from UK: SFO in action

Luxury Cars stolen from UK: SFO in action

Njimba Nsalilwe thanks kwa mawazo yako. I used to belive the same thing kuwa money is not everything but now I know it is! There are two things here, 1 is the way u get the money and 2 is the way u spend the money.
Kwanza KWa kesi ya Dr. Ponjo na dili zake hakuna hata moja iliyowathuru watu wake(meaning watanzania. Yeye anapiga dili kiwanja, na hata hayo magari aliyoyapiga ni ya bei mbaya so 90% of them they should have insurance, so hao watu hawajapata hasara coz they got paid by the insurance company. Ukilinganisha na hao watu uliowataja wengi wao wamewaibia wanachi wao kwa njia moja au nyingine especialy Lowasa.
Na pili Dr. ponjo amesaidia sana watu wake kwa hizo hela za dili. Sasa kama alikuwa anjirusha sana hayo ni matokeo tu but ukilinganisha na hao watu wengine wao walikuwa wanatumia hizo hela kuendelea kukandamiza wanachi especialy Lowasa. Hela zake za nyingi amezimwaga wakati wa uchaguzi ili aendelee kuwabana watanganyika. Na kama huamini wewe subiri tu utaona coz pamoja amejihudhuru lakini anajiandaa kugombania urahisi after Kikwete. Wewe hukumbuki Raisi mstahafu Mwinyi alivyojihuthuru wakati akiwa Raisi alafu akaja kuwa Raisi? so hii ya Lowasa ni janja yake tu.
Na kwa watu hawa wote kwenye huu mtandao wanaompiga madongo Dr. Ponjo, mbona hamkemei hao wakubwa wote wanauza madawa ya kulevya hapa nchini? Mheshimiwa Amina alipiga kelele wakampoteza, na nyinyi mnaogopa kupotezwa? Angalieni maovu ya kweli, sio kupiga kelele tu kwa mtu moja ambaye dili zake hazijawahi kukuthuru in anyways zaidi ya yeye kujisaidi a yeye na watu wake. Na ndio maana nilisema kuna wengine mna chuki binafsi.
 
Icadon. This in not 50 cent wana be, I'm just giving u the facts. Mbona nimetumia mifano ya MR 2 na Profesa J? au hio hukuiona?
 
Mgerwa, sio kwamba wazungu walitunyonya, bado wanatunyonya mbaka leo. Do u know ile Airport ya Kia huyo Mzungu aliyepewa ana contract ya aina gani? do u know anailipa Serekali kiasi gani? And do u know why Mwalimu alijenga ili airport pale na hakutaka watu wa nje wapewe yale maeneo mbaka watanzania wenyewe tutakapokuwa na akili ya kujiendeleza? The minute Baba wetu wa Taifa alivyotutoka ile Airport akapewa mtu na watu wengi wamekula na wanaendelea kunufaika. The whole Airport imejengwa juu ya miamba ya madini. Pale ndio kiini cha madini ya Tanzanite, sasa hivi watu wanajichotea tu. na hat uko mbuguni eneo kubwa amepewa Kampuni Half Game ambaye si mtanzania, sasa wachimbaji wadogo wadogo wananyanyasika. Tu me huo ndio wizi
 
.......kuna mwizi mwenzake, alinieleza kuwa jamaa alitumika na Balali @ some point ku-launder ile mipesa ya BoT.......ndio maana nikasema mambo mengine si ya kuzungumza hapa!!!. kuna mengi zaidi including accessory to murder............huyu jamaa ni noma!!!
hili lijamaa mbona linafurahia sana? Dr.Ponja alikula demu wako? If so, u need to get a new chick homeboy or step up your game coz ataliwa tena tena with the next person atakayekuja na chapaa. Ushauri wangu kwako, GET A NEW CHICK and stop hating.
 
Huyu Bwana mdogo alianza hata kumwibia Baba yake Mzee Malakasuka akiwa na kitu inayoitwa Ghana Contractors, nadhani sasa 40 zake zimefika na huenda zitakuwa 40 kwelikweli!
if u know all of this u must have been moja ya wapambe wake ambaye alikuwa na chuki binafsi coz it seems at some point ulichoka kuwa mpambe and u wanted to be him. Or else umejuaje hayo yote?
 
Duh Mtambo acha hizo....
Huyo ni mwizi wa kawaida tu, hakuna kurudisha mali nyumbani...
Kwanza angalia eti anaishi kwenye jumba la pounds 250,000. Hizo ni tamaa, and tanzania hatuwahitaji watu wa sampuli hiyo...

Mzee inaonekana we kiwanja hujui hata kinafananaje. Nyumba za huku ni mambo ya mkopo coz if u pay cash kesho yake polisi na watu wa ushuru watakuwa mlangoni kwako wanataka kujua hizo hela umetoa wapi.
 
I'm not 50 cent wanabe or in the making man. I have alredy made it, what about u?

I doubt that!!! Anyways mada ni Dr. Mponjoli,
Wizi ni wizi umeiba nchini kwenu au nje ya nchi, mtu kama huyo akirudi Tanzania sidhani kama kuna kitu kitamzuia kuwa fisadi na mwizi(it's in the blood)....
 
Please "MTOTO WA MZUNGU" come with clean hands. Do you want people to believe that you are symphatising with the boy because is your tribe mate???????????????
Huyu jamaa sio kabila langu wala nini lakini sipendi kuona watu wakichekelea binadamu mwenzao anapopatwa na matatizo.As I said before, I dont condone wizi wa aina yoyote lakini haina maana kwamba kama mtu ameiba ,tena huku ughaibuni ambako hana ndugu, nitamtosa kama anataka msaada. Kama kuna mtu mwenye details za custody aliyopo na siku ya kesi ya Dokta naomba anipatie, it seems everyone is running away from him now hata wale ambao wamewahi kula fadhila zake, he needs help.
 
Kwa hiyo kubaka, kuua, kumuuzia gwiji mzungu, mhindi, mchina au mtu yeyote ruksa kwa sababu tunalipiza walichotufanyia? Usijidanganye ndugu yangu, wewe na kibaka wa kiwalani hamna tofauti. Ni donda ndugu katika jamii na hususan katika hii jamii ya mtu mweusi maana hicho unachoshangilia ndicho kinachopelekea sisi kuonekana hatustahili kuwa kundi moja na binadamu wengine. Kama kweli amefanya aliyofanya, afungwe na atumikie adhabu anyostahili. Sitamlilia kama vile sitakulilia wewe utakapokamatwa. Maana kukamatwa utakamatwa tu. Usijidanganye.
 
Kwa hiyo kubaka, kuua, kumuuzia gwiji mzungu, mhindi, mchina au mtu yeyote ruksa kwa sababu tunalipiza walichotufanyia? Usijidanganye ndugu yangu, wewe na kibaka wa kiwalani hamna tofauti. Ni donda ndugu katika jamii na hususan katika hii jamii ya mtu mweusi maana hicho unachoshangilia ndicho kinachopelekea sisi kuonekana hatustahili kuwa kundi moja na binadamu wengine. Kama kweli amefanya aliyofanya, afungwe na atumikie adhabu anyostahili. Sitamlilia kama vile sitakulilia wewe utakapokamatwa. Maana kukamatwa utakamatwa tu. Usijidanganye.

Very apt observation Fundi Mchundo...kamata tano zako!
 
....Kama kuna mtu mwenye details za custody aliyopo na siku ya kesi ya Dokta naomba anipatie, it seems everyone is running away from him now hata wale ambao wamewahi kula fadhila zake, he needs help.

Mkuu kan Ka-nsungu,

I have heard you and finally understand your point of view. After reading different views from different people here, I take your stand.

I am neither in the UK and nor in TZ, bite far from the UK, if I was there and if you are there, we could have organised so that we join our efforts to help the boy.

From what other people have suggested, it seems the boy is the bread provider to everybody in the family of the bankrupt Mzee Malakasuka. I think the boy needs an angel to help him. It would be great if we could be the one.

Concerning the whereabout of the boy and the day of the case, read this extract from the main story.

[I]"...He has now been charged with conspiracy to steal and is due to appear at Wolver-hampton Crown Court on April 23".[/I]

I think with information if you real mean it you can see the boy. Let me know if he needs some help, we can team up to help the boy, I real mean it.

Nsalilwe
 
Wewe Nsalilwe, Usijaribu kujamba wakati unatumbo la kuhara. Kijana issue yake inamlolongo sana na baadhi ya ndugu zake(Majina ninayo) wa UK wameshapigiwa simu na watu wanaojidai kwamba wametumwa na Mponjoli mwenyewe kwamba wasihangaike kumsaidia maana watajitia Matatizoni.

Kiukweli kwa tathmini ya haraka haraka inasemekana hizo simu ni za jamaa wa Polisi. Sasa ndugu yangu usije Ukafanya wema wa Mshumaa.

Huu ni ushauri tuu kwako.
 
Na kwa wale wanaodai kuwa vitendo kama hivi haviwadhuru watanzania. Ni vitendo kama hivi ndivyo vinavyowapa nguvu wale wote wanaotaka kujenga fortress europe. Na wanapozungumzia wahamiaji wasiotakiwa si wale wanaotoka Australia au New Zealand bali ni sisi wamatumbi. Vitendo kama hivi vinathibitisha kwa nini wako sahihi kutupangisha foleni na kutuuliza maswali ya kutudhalilisha kwenye balozi zao.
 
Wewe Nsalilwe, Usijaribu kujamba wakati unatumbo la kuhara. Kijana issue yake inamlolongo sana na baadhi ya ndugu zake(Majina ninayo) wa UK wameshapigiwa simu na watu wanaojidai kwamba wametumwa na Mponjoli mwenyewe kwamba wasihangaike kumsaidia maana watajitia Matatizoni.

Kiukweli kwa tathmini ya haraka haraka inasemekana hizo simu ni za jamaa wa Polisi. Sasa ndugu yangu usije Ukafanya wema wa Mshumaa.

Huu ni ushauri tuu kwako.

MMMMMMMMMMMMMMMMMMh, I should now re-visit my stand. However, thank you for your free advice.

I take note.
 
duh hata hivyo jamaa ni soldier bwana tuache masihara,,kumwibia mzungu sio mchezo kweli watanzania ni vichwa
 
Kichwa kwa kuiiba au kwa kukamatwa UK? angeiba hapa nchini angeitwa nani?
 
duh hata hivyo jamaa ni soldier bwana tuache masihara,,kumwibia mzungu sio mchezo kweli watanzania ni vichwa

Foolish, absurd comment. Jaribu kumuibia masai uone difference ya kumuibia mzungu na masai. Mwizi ni mwizi tu, whether unamuibia mzungu, m-asia, au mwafrika. Sijui IQ yako kwa hiyo siwezi kucomment sana!
 
Wewe Huna akili, Unaandika mambo usioyajua na kuyaweka bila kuwa na uhakika.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika vitu kama hivi, mimi naifahamu ile familia na yote ulioandika haleti maana, Afadhali hata walikuwa matajiri wewe na familia yako mna nini?

Watanzania mliokosa maendeleo, Topic hii haihusiani kabisa na mambo uliyoyaandika. Na kibaya zaidi habari nyingi ulizoziandika sio za kweli.
Achana na maisha ya watu anaglia ustaarabu wako. Mjinga wewe.
 
Back
Top Bottom