pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Kumbe binadamu anaweza kuwa katili na mwovu kwa binadamu mwenzie kuliko hata shetani.Kwa hakika hayupo asiyejua kuwa kesi ya Mbowe ni ya kubumba.
"Sasa anapohitaji kuaminiwa, labda kama ni kuaminiwa anataka kumnyazisha Mh. Mbowe?"