BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
wewe ndio Dadravuu kabisawewe sijui kama ni mzima unafikiri bei zinashushwa tuuu....
What is your pointNaipenda sana Tanzania yangu
sibanduk nikihama nchi visa kama hivi sitaviona
Kuisoma namba kunaendelea 2017
Una akili wewe???Nyie waropokaji huwa mjaaa tuu humu jf uzuri nimeangalia marudio ya hotuba hii pale itv alimjibu vizuri sana tena sana...............alimwambia waziri wa viwanda na Mbunge watafute mwekezaji kule kuna madini ya bati wakimpata wataweza kupanga bei lakini ni vigumu kutegemea mabati kutoka dar yapunguzwe bei unayo taka wewe ni vigumu sana watu wanafanya biashara...
maskini wanapatikana chato, geita na mwanzaAkiwa IKULU anasema yeye ndio amezunguka nchi nzima anajua Shida za WANANCHI MASIKINI na ndio waliompigia kura Kwaio SERIKALI YAKE NI YA MASIKINI.
Akiwa kwa hao MASIKINI anawaambia MWAAFA. Hakuna MSAADA kila MTU ABEBE MSALABA WAKE.
Sijui ni Masikini wapi huwa ana wazungumzia.
Nimekupuuza.Masuala ya kutokuwa na shida na uongozi yanahusiana vipi na kuwasaidia wahanga wa tetemeko?
Hivi mkuu huwezi jibu uzi wowote bila kumtaja Lowasa au chadema ?
Kazi unayo! Iga hata mfano wa kada mwezip Pohamba
Chatoor International Airport (CIA)Labda ni maskini wa kule anakojenga uwanja wa ndege!
Wewe acha zako,Trump anawatetea Sana wamarekani..wazawa,sisi wazawa wanapigwa kanzu tuhii ndio siasa iliYomuingiza pia donald white house ....JPM hapindish maneno
Ndiyo maana mulimpa kula mungempa kura wananchi tusingeteseka hivi.Kwanza niseme kuwa Mh JPM umetumi nafsi yako kutukaanga watani zako hasa Wahaya na watu wa Iringa, Songea na Mkoa wa mARA.
Mwakajana ulitumia hadhira kutugonganyundo wahehe kupitia kwa CEO Mfugale wa TANROADS siku ukiwa Mwanza ukiweza jiwe la msingi la Kivuko cha Miguu palee Kirumba super mall.
Wiki hii umwetukamata wahaya, kwa kweli mtaniumetugonga kweli.Lakini ndo utani, nasisi tunasubiri wakati ukifika 2020 ukija kuomba kula BK basi jiandae kupiga goti ili kuomba kura. Ninajua kuwa kisukuma Mwanaume kupiga haikubariki lakini tutahakikisha tunalipiza kwa kukwambia piga goti ili tukupe kula.
Ila uzuri wa mtani wetu Magufuri anathamini shule na uchapakazi wa watani zake. Kwa mara ya kwanza teuzi mbalimbla na za maanaa zimeenda kwa sisi watani zake kuliko uongozi wowote uliopita. Angalia akini mfugale, TANROADS,Mej general Rwegasila ..mambo ya ndani,,Professor Kamzora...Vice president office nk. Eng Rwenge, maji etc. Mtani Mag ukiwa jukwaani unatuweza watani kwani unatugonga kweli.
Onyo:Niniatoa onyo kwa Watanzania kuingilia utani wetu bora kabisa na MH Rais.Acheni kutokamapofu wakati MH anapotutania sisi kwani ni haki yake.Wala sisi haitupi shida watani zake labda nyie uwoga wenu
Shida tupu na maswali bila majibu. Kiwanda cha kuchakata maneno ya kuudhi na kuumiza na kuwaomba maumuma na maimamu wamuombee kwa maulana!Nawaza..hivi Mungu akinipa uwezo wa kuingia kwenye ubongo wa JP kule kichwani alafu nisawiri kila anachowaza kila sekunde nitakutana na vitu gani!
Hope ujanielewa JPM hapindishi anachokisema ....haijalishi kina Tija au laaWewe acha zako,Trump anawatetea Sana wamarekani..wazawa,sisi wazawa wanapigwa kanzu tu
hahaaa ila JF.Ndiyo maana mulimpa kula mungempa kura wananchi tusingeteseka hivi.