Kwanza niseme kuwa Mh JPM umetumi nafsi yako kutukaanga watani zako hasa Wahaya na watu wa Iringa, Songea na Mkoa wa mARA.
Mwakajana ulitumia hadhira kutugonganyundo wahehe kupitia kwa CEO Mfugale wa TANROADS siku ukiwa Mwanza ukiweza jiwe la msingi la Kivuko cha Miguu palee Kirumba super mall.
Wiki hii umwetukamata wahaya, kwa kweli mtaniumetugonga kweli.Lakini ndo utani, nasisi tunasubiri wakati ukifika 2020 ukija kuomba kula BK basi jiandae kupiga goti ili kuomba kura. Ninajua kuwa kisukuma Mwanaume kupiga haikubariki lakini tutahakikisha tunalipiza kwa kukwambia piga goti ili tukupe kula.
Ila uzuri wa mtani wetu Magufuri anathamini shule na uchapakazi wa watani zake. Kwa mara ya kwanza teuzi mbalimbla na za maanaa zimeenda kwa sisi watani zake kuliko uongozi wowote uliopita. Angalia akini mfugale, TANROADS,Mej general Rwegasila ..mambo ya ndani,,Professor Kamzora...Vice president office nk. Eng Rwenge, maji etc. Mtani Mag ukiwa jukwaani unatuweza watani kwani unatugonga kweli.
Onyo:Niniatoa onyo kwa Watanzania kuingilia utani wetu bora kabisa na MH Rais.Acheni kutokamapofu wakati MH anapotutania sisi kwani ni haki yake.Wala sisi haitupi shida watani zake labda nyie uwoga wenu