pangalashaba
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 1,301
- 1,579
Hahahahahaha!!!! We jamaa wahurumie wenzio.Heka heka bwawani!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha!!!! We jamaa wahurumie wenzio.Heka heka bwawani!!!
Nakuunga mkono MkuuKati ya kosa waliofanya Yanga ni kumpa utendaji wa timu mtu ambaye aliwahi kuwa kocha kwenye timu hiyo na ku prove failure. Yeye atakuwa anaamini bado ni kocha bora na kusahau kuwa nu kiongozi na kuendelea kumkosoa , kutokumkubali, kutokumpa ushirikiano ama kutengeneza makundi ya hujuma kibongobongo miongoni mwa wachezaji.
Umenikumbuka Kaduguda,haaaa haaaa zeee korofi hilikuteuliwa kwa mkwasa kulimfanya hadi julio kutamani ukatibu mkuu simba,akaanza kujileta karibu,afadhali hawakumpa maaana ningekuwa balaa kubwa zaidi ya mkwasa
Sa atakuwaje na tabia za kizungu!huyu jamaa hakwepeshi maneno, suala la ngoma litakuja igawa timu jamaa hana msaada wowote sasa ivi yeye kila siku ni kuumwa tu na ndo tunasikia akipona analeta nyodo kucheza pumbavu sana.
mkwasa nae na tabia za kiswahili
lazima upende mkuu si tabia za kiswahili mnazo sana.Nimependa hapo Mkwassa anaenda kambini, anaahidi malipo afu hatekelezi. Kama wanasiasa wetu. Safi sana
namhurumia Ajibu ...aliondoka kwa jeuri sasa hivi nasikia na yeye amegoma kufanya mazoezi ya kupiga faulo
Nakumbuka alishawahi kuwa kocha mkuu wa Yanga.Labda Mkwassa anataka arudishiwe timu yeye kama Kocha Mkuu
Lini alikuwa kocha mkuu?Nakumbuka alishawahi kuwa kocha mkuu wa Yanga.
Sielewi aliifanikisha timu kwa kiwango gani.
Ila angekuwa kocha mwenye mafanikio angebaki kuwa kocha mkuu hadi sasa.
Poleni Watani