Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 879
- 991
Mara kibao tu Mkuu,Lini alikuwa kocha mkuu?
Mkwassa ashafundisha Yanga zaidi ya mara moja kama Kocha Mkuu,
Ni kama Kibadeni tu kwa Simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara kibao tu Mkuu,Lini alikuwa kocha mkuu?
Mara kibao tu Mkuu,
Mkwassa ashafundisha Yanga zaidi ya mara moja kama Kocha Mkuu,
Ni kama Kibadeni tu kwa Simba
Hizo ni Kumbu kumbu za hivi karibuni,Nikajua kiben10
Kumbukumbu zangu zinaniambia alikuwaga kocha msaidizi wa Yanga chini ya Pluijm.
Nikumbushe lini hiyo?
Kweli bana. Nimegugo 2001 alikuwa kocha mkuuHizo ni Kumbu kumbu za hivi karibuni,
Lakini alishawahi huyu
Nimependa hapo Mkwassa anaenda kambini, anaahidi malipo afu hatekelezi. Kama wanasiasa wetu. Safi sana
Mkwasa sio professional? Amesoma sports management ( including coaching)kocha ni proffesional wakati mkwasa ni mbabaishaji na hpo ndyo tatizo linapoanzia