kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kwake Lwandamina kila mchezaji ana thamani, timu inapata matokeo hata kama wachezaji 7 muhimu hawapo kikosini kwa sababu nyingine. Simba wana wachezaji 2 tu Okwi na Bocco kama wakikosekana timu inadumaa.
Simba kama kawaida yake imeanza kuukosa ubingwa poolepoole. LAZiMA itaukosa hata mwaka huu kwasababu ya kuipania Yanga
Simba kama kawaida yake imeanza kuukosa ubingwa poolepoole. LAZiMA itaukosa hata mwaka huu kwasababu ya kuipania Yanga