Lyanga anazingua Sana kwa kupoteza mipira na chenga zake za kijinga

Lyanga anazingua Sana kwa kupoteza mipira na chenga zake za kijinga

Eti wachezaji wasitokane na Yanga na Simba!!! Ujuaji mwingine unaleta sana fedheha! Na haya ndiyo matokeo yake.

Sasa si ubadili mfumo kwanza kwa kupeleka vijana wengi wazawa kwenye Academy za Ulaya na pia kuziboresha timu za majeshi na pia zile za mamlaka ili hizo Simba na Yanga zikose nguvu ya kuwa na wachezaji wengi kwenye timu ya Taifa!

Hispania kwenyewe wachezaji wao wengi wa Timu ya Taifa wanatoka Barceloba, Real Madrid na Atletico Madrid! Iweje nongwa kwa Simba na Yanga kutoa wachezaji wengi iwapo wana sifa zinazo stahili?

Huwa nakerwa sana kuwa na kiongozi asiye na mipaka kwa wasaidizi wake. Yaani kila sehemu unaingilia na kuvuruga vuruga tu! Sasa kuna umuhimu gani wa kuwa na wasaidizi au mgawanyo wamadaraka?
Kuna kiongozi mkubwa tu aliwahi kusema mpira wa Tanzania unaharibiwa na Simba na Yanga kwa hiyo tukitaka kufanikiwa kama Taifa tuziepuke. Nikamwangalia nikasema "Mungu Mrehemu".
 
Eti wachezaji wasitokane na Yanga na Simba!!! Ujuaji mwingine unaleta sana fedheha! Na haya ndiyo matokeo yake.

Sasa si ubadili mfumo kwanza kwa kupeleka vijana wengi wazawa kwenye Academy za Ulaya na pia kuziboresha timu za majeshi na pia zile za mamlaka ili hizo Simba na Yanga zikose nguvu ya kuwa na wachezaji wengi kwenye timu ya Taifa!

Hispania kwenyewe wachezaji wao wengi wa Timu ya Taifa wanatoka Barceloba, Real Madrid na Atletico Madrid! Iweje nongwa kwa Simba na Yanga kutoa wachezaji wengi iwapo wana sifa zinazo stahili?

Huwa nakerwa sana kuwa na kiongozi asiye na mipaka kwa wasaidizi wake. Yaani kila sehemu unaingilia na kuvuruga vuruga tu! Sasa kuna umuhimu gani wa kuwa na wasaidizi au mgawanyo wamadaraka?
Kuna wajinga walisapoti kauli ya huyo kiongozi tena kwa makofi mengi sana.
 
Ndayiragije huyu kijana wako Lyanga ataicost timu mechi zijazo.

Anapata pass nzuri Ila hafocus kutafuta goili yeye anakimbilia kwenye Kona tu na kupigwa vyenga Kama Ronaldo, kwanza chenga zenyewe hawezi.

Tunahitaji wachezaji wako serious kutafuta goli sio kupiga chenga za kijinga

Tumeshinda hii mechi pengine tokana na game plan mbovu ya Namibia au bahati tu Ila huko mbele tukija kutana na timu za Afrika magharibi tutatoka Kama starting eleven itakuwa na watu Kama huyu Lyanga.

Hatatutaki mbwembwe uwanjanj tunataka magoli.

Bila unafiki wala uzandiki
Lyanga na Manula si wachezaji wa kimataifa....warudishwe nyumbani tu
 
Yaani anaboa Sana Jamaa

Akipata Moira anakimbilia kwenye Kona na kuanza picha chenga za kijinga .

Halafu huwa anaangalia Moira chini yaani haangalii wwnzake wako wapi ndio maana huwa anapoteza mipira kijinga

Kuna yule nchimbi inaonekana hawezi mudu dakika 90 ajabu Jamaa wamemchezesha wakati mchezaji amejichokea nae anapewa mipira Ila anapiga fyongo tu .

Stars bhana[emoji57]
Kwani moira ndio nini
 
Eti wachezaji wasitokane na Yanga na Simba!!! Ujuaji mwingine unaleta sana fedheha! Na haya ndiyo matokeo yake.

Sasa si ubadili mfumo kwanza kwa kupeleka vijana wengi wazawa kwenye Academy za Ulaya na pia kuziboresha timu za majeshi na pia zile za mamlaka ili hizo Simba na Yanga zikose nguvu ya kuwa na wachezaji wengi kwenye timu ya Taifa!

Hispania kwenyewe wachezaji wao wengi wa Timu ya Taifa wanatoka Barceloba, Real Madrid na Atletico Madrid! Iweje nongwa kwa Simba na Yanga kutoa wachezaji wengi iwapo wana sifa zinazo stahili?

Huwa nakerwa sana kuwa na kiongozi asiye na mipaka kwa wasaidizi wake. Yaani kila sehemu unaingilia na kuvuruga vuruga tu! Sasa kuna umuhimu gani wa kuwa na wasaidizi au mgawanyo wamadaraka?
Tatizo linakuja kwa ushabiki ndio.wanapoboa timu ya Taifa inaleta usimba na uyanga hap.si bora hvy il.waonekan hata wasipokuwap kuna wengine watacheza ili wakipata nafasi usimba na uyanga uishee nje ya uwanja
 
Sijateuliwa na JF au sijajitangaza hapa kuwa Mtabiri wenu sawa? Wanafiki wakubwa mnajifanya Kuulizia ili nikikosea tu muanze Kuninanga vibaya.
Mkuu si hata mechi ya jana ulituambia tunashinda na tukashinda kweli kaka?
 
Mkuu si hata mechi ya jana ulituambia tunashinda na tukashinda kweli kaka?
Nina uhakika wengi wenu mlikuwa mnadhani natania na mlikuwa mnasubiria isiwe kama nilivyosema ila imekuwa vile vile. Kuna Watu wamenuna!
 
Lyanga na Nchimbi wote hamna kitu pale, Nchimbi uwezo mdogo ila anajitahidi kujituma kwa nguvu zote, Lyanga hajitambui na hii nafasi baada ya CHAN hataipata tena.

Ni baada mbaya hakuna mbadala ya hawa vijana kwenye kikosi kilichopo Cameroon ukimtoa Boko majeruhi ila kwenye kikosi kamili cha AFCON hawa wote wawili hawawezi kupata namba.
 
Watanzania kwa lawama hamjambo sasa si bora yule kuliko waliopo benchi, kwanza wachezaji wote tu wanaruka ruka wanapoteza mipira hawana umakini mwenzake akiwa na mpira badala ya kuomba nafasi yeye anaganda tu. Timu hii hata aje nani tutakuwa tunashinda kwa kudra za mwenyezi Mungu tu
kweli tuna lawana..., sasa walioko bench wafanye nini..., wasaidie kurudisha mipira uwanjani ikitoka nje ?
 
Kosa kubwa la Lyanga na ambalo waalimu wake hawamrekebishi ni akipewa pasi focus yake inakuwa kwenye mpira tu na pale anapokuja kupata akili ya kuangalia nafasi inakuwa too late.

Mshambuliaji anapokea pasi anaanza kupiga chenga kabla ya kuangalia positions za wenzake ili chenga iwe ni mbadala wa kutoa nafasi zaidi kwake au wenzake.

Asiwe anakimbia huku anaangalia chini. Otherwise ni mchezaji mzuri sana, anahitaji Ushauri tu na nashangaa mtu kama Mgunda anashindwa vipi kubadili hilo.
 
Back
Top Bottom