Lyatonga Mrema ni shujaa wa taifa. Alifanya kazi kubwa kudhibiti misingi ya rushwa

Lyatonga Mrema ni shujaa wa taifa. Alifanya kazi kubwa kudhibiti misingi ya rushwa

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Ndio maana hata Remmy Ongala akatunga wimbo kumsifia kwa kazi nzuri ya kudhibiti rushwa, magendo na uzembe alipokuwa waziri wa mambo ya ndani.

Sisi wanaCHADEMA huwa tunasahau kuwa Mrema ni mmoja wa watanzania wazalendo ambao walitumika kwa moyo mkuu.

My take; Tunafanya kosa kubwa kumuona Mrema ni msaliti.

image_search_1633381037028.jpg

 
Sasa CHADEMA na mrema wapi na wapi Yani chama kikuu kinachoongoza nyoyo za watanzania kitapambanishwa na kila msukule hamkawii kusema sera za chadema zinakinzana na mbaraka mwishehe au samba mapangala .
 
We
Ndio maana hata Remmy Ongala akatunga wimbo kumsifia kwa kazi nzuri ya kudhibiti rushwa, magendo na uzembe alipokuwa waziri wa mambo ya ndani.

Sisi wanaChadema huwa tunasahau kuwa Mrema ni mmoja wa watanzania wazalendo ambao walitumika kwa moyo mkuu.

My take; Tunafanya kosa kubwa kumuona Mrema ni msaliti.
View attachment 1963125
We tuambie kafa Basi Ila usiihusishe chadema
 
Watakuambia mashujaa wa rushwa ni wale waliopokea rushwa wa yule waliyemuita fisadi papa hadi wakamuuzia nafasi ya kugombea urais

2005 - 2014: Tundu, Mbowe na wenzao
20210724_195112.jpg

images (9).jpeg
 
Ndio maana hata Remmy Ongala akatunga wimbo kumsifia kwa kazi nzuri ya kudhibiti rushwa, magendo na uzembe alipokuwa waziri wa mambo ya ndani.

Sisi wanaChadema huwa tunasahau kuwa Mrema ni mmoja wa watanzania wazalendo ambao walitumika kwa moyo mkuu.

My take; Tunafanya kosa kubwa kumuona Mrema ni msaliti.
View attachment 1963125
Acha kumchuria Mzee wetu Lyatonga inji(nchi) hii bado inamuhitaji
 
Ndio maana hata Remmy Ongala akatunga wimbo kumsifia kwa kazi nzuri ya kudhibiti rushwa, magendo na uzembe alipokuwa waziri wa mambo ya ndani.

Sisi wanaChadema huwa tunasahau kuwa Mrema ni mmoja wa watanzania wazalendo ambao walitumika kwa moyo mkuu.

My take; Tunafanya kosa kubwa kumuona Mrema ni msaliti.
View attachment 1963125
Ndo maana akapewa cheo na yule chizi mwendazake
 
Ndio maana hata Remmy Ongala akatunga wimbo kumsifia kwa kazi nzuri ya kudhibiti rushwa, magendo na uzembe alipokuwa waziri wa mambo ya ndani.

Sisi wanaChadema huwa tunasahau kuwa Mrema ni mmoja wa watanzania wazalendo ambao walitumika kwa moyo mkuu.

My take; Tunafanya kosa kubwa kumuona Mrema ni msaliti.
View attachment 1963125
Labda Chama chake Rafiki kikubali kinachompa mkate wa kila siku
 
Back
Top Bottom