Lyatonga Mrema ni shujaa wa taifa. Alifanya kazi kubwa kudhibiti misingi ya rushwa

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Ndio maana hata Remmy Ongala akatunga wimbo kumsifia kwa kazi nzuri ya kudhibiti rushwa, magendo na uzembe alipokuwa waziri wa mambo ya ndani.

Sisi wanaCHADEMA huwa tunasahau kuwa Mrema ni mmoja wa watanzania wazalendo ambao walitumika kwa moyo mkuu.

My take; Tunafanya kosa kubwa kumuona Mrema ni msaliti.


 
Sasa CHADEMA na mrema wapi na wapi Yani chama kikuu kinachoongoza nyoyo za watanzania kitapambanishwa na kila msukule hamkawii kusema sera za chadema zinakinzana na mbaraka mwishehe au samba mapangala .
 
We We tuambie kafa Basi Ila usiihusishe chadema
 
Watakuambia mashujaa wa rushwa ni wale waliopokea rushwa wa yule waliyemuita fisadi papa hadi wakamuuzia nafasi ya kugombea urais

2005 - 2014: Tundu, Mbowe na wenzao

 
Acha kumchuria Mzee wetu Lyatonga inji(nchi) hii bado inamuhitaji
 
Ndo maana akapewa cheo na yule chizi mwendazake
 
Labda Chama chake Rafiki kikubali kinachompa mkate wa kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…