Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Huu uchaguzi ndani ya CHADEMA umetuonyesha sura nyingi sana chanya na ndani ya CHADEMA na nje ya CHADEMA.
Huwezi kuzungumzia ushindi wa Lissu bila kutaja timu ya kampeni ya Lissu iliyopiga kazi ground kimyakimya na kwa dhahiri kuwezesha Ushindi wa Lissu.
Katika wengi waliowezesha ushindi kuna hawa wafuatao.
Kijana LYENDA.
Huyu alipiga kazi utadhani mwali ni wake, huyu kijana alihusika ktk mengi ila ya dhahiri tuliyomuona nayo ilikuwa ni kuandaa press conference ya Lema, kuorganise mkutano wa wenyeviti wa mikoa na wajumbe mbalimbali kumuunga mkono Lissu. Poa alishiriki mdahalo
Huwezi kuzungumzia ushindi wa Lissu bila kutaja timu ya kampeni ya Lissu iliyopiga kazi ground kimyakimya na kwa dhahiri kuwezesha Ushindi wa Lissu.
Katika wengi waliowezesha ushindi kuna hawa wafuatao.
Kijana LYENDA.
Huyu alipiga kazi utadhani mwali ni wake, huyu kijana alihusika ktk mengi ila ya dhahiri tuliyomuona nayo ilikuwa ni kuandaa press conference ya Lema, kuorganise mkutano wa wenyeviti wa mikoa na wajumbe mbalimbali kumuunga mkono Lissu. Poa alishiriki mdahalo