Sawa sawa kabisaModerator isomeke TZS 380M sio TZS380 rekebisheni
Hapa lazima Kuna mkono wa dola vijana Tanzània hakuna Upinzani hawa ni mawakala tu
Timu mbowe mapumbavu yanapokea rushwa kutoka Kwa Abdul na mamayake ili kuhonga wajumbe yakija mikoani hakikisheni mnayapiga picha na kurusha mitandaoni ili kuyakomesha na machawa wao.Matusi kama bosi wao.
Mkuu 'Newforce' (mbangaizaji) - Mbowe na mabwanyenye wenzake siyo ma-mbumbu kama unavyo fikiri.Wabangaizaji tukidai jasho letu tunalo jitolea tunalipwa na nani? Azimio ni moja tu, kila mjumbe anaeletewa pesa ya tajiri Mbowe, ambayo tunajua amefadhiliwa na Abdul na Mama yake lazima tuichukue, lazima kila mjumbe apokee Million 2 na kura tunapiga kwa Tundu Lissu.
Mwehu wewe mpiga majungu lazima ukosee tu kuandikaModerator isomeke TZS 380M sio TZS380 rekebisheni
Hapa lazima Kuna mkono wa dola vijana Tanzània hakuna Upinzani hawa ni mawakala tu
Simu zisiruhusiwe ndani ya Ukumbi nadhani ni jambo jemaMkuu 'Newforce' (mbangaizaji) - Mbowe na mabwanyenye wenzake siyo ma-mbumbu kama unavyo fikiri.
Wanapo toa hiyo Tsh 2 milioni; wana hakikisha hiyo kura ina patikana kwa lazima, na siyo kwa hiari.
Kwa hiyo angalieni njia wanazo tumia kuhakikisha kila anaye pata hizo pesa kura yake inapatikana kwa lazima.
Huko ndiko baneni; wakose mwanya huo.
Chemsheni bongo kujuwa ni njia zipi wanazo weza kuzitumia kuhakikisha pesa yao haipotei, bila ya kupata kura.
Kwa mfano: Pesa hizi mara nyingi zinatumwa kwa njia za mtandao. Ahadi yao kwa wapiga kura hao inaweza kuwa hivi:
Mpiga kura anaahidiwa hiyo pesa. Pesa inatumwa mara tu mpiga kura anapo weka alama kwenye karatasi ya kura na kuipiga picha karatasi hiyo na kuiwasilisha kwa malipo yaliyo ahidiwa.
Utoto huo kama wapiga kura wanamtaka Lisu au Mbowe watawapa tu wawe na simu au laSimu zisiruhusiwe ndani ya Ukumbi nadhani ni jambo jema
Hilo tayari ni pendekezo zuri kama litakubaliwa.Simu zisiruhusiwe ndani ya Ukumbi nadhani ni jambo jema
Ni vyema umejitambulisha mwenyewe, kwamba ni takataka.Utoto huo kama wapiga kura wanamtaka Lisu au Mbowe watawapa tu wawe na simu au la
Uchaguzi mkuu mbona tunaingia na simu vituo vya kupigia kura sembuse huo wa chama .Acha kutapatapa wewe
Kibaraka wa mabeberu Lisu wenu atashindwa kura mapema sana
Uchaguzi ni kitu cha kikatibaHilo tayari ni pendekezo zuri kama litakubaliwa.
Lakinimawakala ni lazima wawe na simu humo ndani ya ukumbi.
With due respect, kwanini Timu Lissu na Lissu mwenyewe MNAROPOKA SANA!?View attachment 3186410
Makamanda kama kweli itatokea mtaanza kupokea pesa huko Majimboni kwenu kutoka kwa Freeman Mbowe basi ondoeni mashaka kabisa kuwa Mwenyekiti wenu tayari ni mtu wa Serikali na nirafiki wa watesi wenu lazima aogopwe kama ukoma.
Freeman Mbowe amekuwa akilalamika uongozi huu ni mgumu na hauna manufaa yoyote iweje leo atoe pesa kununua matatizo anayoyapata kwenye Uenyekiti kama ambavyo amekuwa akituaminisha hivyo kwa muda mrefu?!!
Nyie mnafahamu, Magari ya chama karibu yote yamepaki kwani hakuna pesa za matengezo, haya mapesa yanaletwa leo huyu ndugu yetu ni kwanini leo?
Nakwanini yasiende kutengeneza magari yetu?
Lakini pia zipo tetesi hizi hapa chini,
👇👇👇
TAMKO LA WAJUMBE KUELEKEA UCHAGUZI WA MWENYEKITI CHADEMA 21 January 2025
Team Mbowe wamejifungia nyumbani kwa Mbowe na nyumbani kwa Boni Yai tangu Mbowe aliporudisha Fomu.
Mpaka SASA timu hii imefanya tathimini kubaini mikoa ambayo wajumbe wake hawamuungi mkono Tajiri wa Chama Mbowe, tathimini hiyo imesema hata kama Mbowe angeungwa mkono na mikoa mitano kwa kura zote za mikoa hiyo bado atapigwa kwa zaidi ya kura mia saba mbele.
Kwahiyo wameazimia kutenga bajeti Billion 1.4 kwajili ya kununua wajumbe 700 wanaomuunga mkono LISU Wakati huo wanaomuunga mkono Mbowe bajeti yao ni 1,500 000 hadi Million 2 inategemea aina ya kila mjumbe.
Faida ya utajiri wa Mbowe ndani ya chadema ni kununua wajumbe?. SASA timu Mbowe inaelekea mikoani kufanya biashara ya wajumbe, karibuni niko hapa nasubiria Million 2 Mimi mpiga kura wa mbangaizaji mwenzangu Tundu LISU (kumbe kuwa upande wa LISU ni dili) Jamani kuwa Lisu sitoki ng'ooo!
Wajumbe wabangaizaji wenzangu tunao mpigia kura Tundu Lissu, hakikisha unapewa Million 2, hizo ni pesa zetu ambazo Mbowe amekuwa akipora toka kwenye ruzuku ya chama kwa kudai CHADEMA madeni hewa!
Ni lazima tuchukue hiyo pesa na kura zote tunapiga kwa Mwenyekiti Tundu Lissu ili tuweze kuokoa chama chetu toka kwa wala rushwa sugu! Wabangaizaji wenzangu mmeshuhudia jinsi tulivyo teswa na ma JOC, ZOC, WOC, Van Guards kwenye chaguzi za ndani, hatukuwa na mawakala wala wagombea,
Hakuna pesa ila wao wanatoka makao makuu na kuja majimboni wakiwa wanajilipa mishahara na posho kubwa, ni wakati wa Tundu Lissu kuongoza chama ili viongozi wa majimbo hadi misingi waweze kupata posho kama viongozi wa kamati kuu wanavyo jilipa! Viongozi wote tunajitolea kufanya kujenga chama, kwa nini Mbowe akijitolea inakuwa ni deni la CHADEMA?
Wabangaizaji tukidai jasho letu tunalo jitolea tunalipwa na nani? Azimio ni moja tu, kila mjumbe anaeletewa pesa ya tajiri Mbowe, ambayo tunajua amefadhiliwa na Abdul na Mama yake lazima tuichukue, lazima kila mjumbe apokee Million 2 na kura tunapiga kwa Tundu Lissu.
Bila kuchukua maamuzi haya magumu Mbowe hawezi kuelewa ni jinsi gani ameihujumu CHADEMA kwa maslahi yake binafsi na CCM
Katiba hutungiwa "kanuni", "taratibu" au sheria, au hujui?Uchaguzi ni kitu cha kikatiba
Hayo ya kutoingia na simu kwenye uchaguzi hayamo kwenye katiba ya Chadema kwenye vipengele vya katiba vihusuvyo uchaguzi labda katiba ibadilishwe
Hawezi kupiga picha kwasababu hawaruhusiwi kuingia na simu zao kwenye ballot box, pia iwakati wakupiga wanapigia kwenye open space sio kwa kujificha.Mkuu 'Newforce' (mbangaizaji) - Mbowe na mabwanyenye wenzake siyo ma-mbumbu kama unavyo fikiri.
Wanapo toa hiyo Tsh 2 milioni; wana hakikisha hiyo kura ina patikana kwa lazima, na siyo kwa hiari.
Kwa hiyo angalieni njia wanazo tumia kuhakikisha kila anaye pata hizo pesa kura yake inapatikana kwa lazima.
Huko ndiko baneni; wakose mwanya huo.
Chemsheni bongo kujuwa ni njia zipi wanazo weza kuzitumia kuhakikisha pesa yao haipotei, bila ya kupata kura.
Kwa mfano: Pesa hizi mara nyingi zinatumwa kwa njia za mtandao. Ahadi yao kwa wapiga kura hao inaweza kuwa hivi:
Mpiga kura anaahidiwa hiyo pesa. Pesa inatumwa mara tu mpiga kura anapo weka alama kwenye karatasi ya kura na kuipiga picha karatasi hiyo na kuiwasilisha kwa malipo yaliyo ahidiwa.
Ahsante kwa taarifa, mkuu 'Covax'.Hawezi kupiga picha kwasababu hawaruhusiwi kuingia na simu zao kwenye ballot box, pia iwakati wakupiga wanapigia kwenye open space sio kwa kujificha.
Chadema inafukuta kweli kweli.....huu uchaguzi utakiacha hiki chama salama kweli ?View attachment 3186410
Makamanda kama kweli itatokea mtaanza kupokea pesa huko Majimboni kwenu kutoka kwa Freeman Mbowe basi ondoeni mashaka kabisa kuwa Mwenyekiti wenu tayari ni mtu wa Serikali na nirafiki wa watesi wenu lazima aogopwe kama ukoma.
Freeman Mbowe amekuwa akilalamika uongozi huu ni mgumu na hauna manufaa yoyote iweje leo atoe pesa kununua matatizo anayoyapata kwenye Uenyekiti kama ambavyo amekuwa akituaminisha hivyo kwa muda mrefu?!!
Nyie mnafahamu, Magari ya chama karibu yote yamepaki kwani hakuna pesa za matengezo, haya mapesa yanaletwa leo huyu ndugu yetu ni kwanini leo?
Nakwanini yasiende kutengeneza magari yetu?
Lakini pia zipo tetesi hizi hapa chini,
👇👇👇
TAMKO LA WAJUMBE KUELEKEA UCHAGUZI WA MWENYEKITI CHADEMA 21 January 2025
Team Mbowe wamejifungia nyumbani kwa Mbowe na nyumbani kwa Boni Yai tangu Mbowe aliporudisha Fomu.
Mpaka SASA timu hii imefanya tathimini kubaini mikoa ambayo wajumbe wake hawamuungi mkono Tajiri wa Chama Mbowe, tathimini hiyo imesema hata kama Mbowe angeungwa mkono na mikoa mitano kwa kura zote za mikoa hiyo bado atapigwa kwa zaidi ya kura mia saba mbele.
Kwahiyo wameazimia kutenga bajeti Billion 1.4 kwajili ya kununua wajumbe 700 wanaomuunga mkono LISU Wakati huo wanaomuunga mkono Mbowe bajeti yao ni 1,500 000 hadi Million 2 inategemea aina ya kila mjumbe.
Faida ya utajiri wa Mbowe ndani ya chadema ni kununua wajumbe?. SASA timu Mbowe inaelekea mikoani kufanya biashara ya wajumbe, karibuni niko hapa nasubiria Million 2 Mimi mpiga kura wa mbangaizaji mwenzangu Tundu LISU (kumbe kuwa upande wa LISU ni dili) Jamani kuwa Lisu sitoki ng'ooo!
Wajumbe wabangaizaji wenzangu tunao mpigia kura Tundu Lissu, hakikisha unapewa Million 2, hizo ni pesa zetu ambazo Mbowe amekuwa akipora toka kwenye ruzuku ya chama kwa kudai CHADEMA madeni hewa!
Ni lazima tuchukue hiyo pesa na kura zote tunapiga kwa Mwenyekiti Tundu Lissu ili tuweze kuokoa chama chetu toka kwa wala rushwa sugu! Wabangaizaji wenzangu mmeshuhudia jinsi tulivyo teswa na ma JOC, ZOC, WOC, Van Guards kwenye chaguzi za ndani, hatukuwa na mawakala wala wagombea,
Hakuna pesa ila wao wanatoka makao makuu na kuja majimboni wakiwa wanajilipa mishahara na posho kubwa, ni wakati wa Tundu Lissu kuongoza chama ili viongozi wa majimbo hadi misingi waweze kupata posho kama viongozi wa kamati kuu wanavyo jilipa! Viongozi wote tunajitolea kufanya kujenga chama, kwa nini Mbowe akijitolea inakuwa ni deni la CHADEMA?
Wabangaizaji tukidai jasho letu tunalo jitolea tunalipwa na nani? Azimio ni moja tu, kila mjumbe anaeletewa pesa ya tajiri Mbowe, ambayo tunajua amefadhiliwa na Abdul na Mama yake lazima tuichukue, lazima kila mjumbe apokee Million 2 na kura tunapiga kwa Tundu Lissu.
Bila kuchukua maamuzi haya magumu Mbowe hawezi kuelewa ni jinsi gani ameihujumu CHADEMA kwa maslahi yake binafsi na CCM
Mamayenu huko ccm kila siku Yuko Kwa mabeberu akizurura kuombaomba kama kichaa anayetafuta makopo yake yaliyopotea bwege kabisa.Utoto huo kama wapiga kura wanamtaka Lisu au Mbowe watawapa tu wawe na simu au la
Uchaguzi mkuu mbona tunaingia na simu vituo vya kupigia kura sembuse huo wa chama .Acha kutapatapa wewe
Kibaraka wa mabeberu Lisu wenu atashindwa kura mapema sana
Kwani anamzidi mamako na basha lako Kwa utopokaji wewe zeteta la ayatollah mbowe na majizi ya kura ccm pamoja na mama yao.With due respect, kwanini Timu Lissu na Lissu mwenyewe MNAROPOKA SANA!?
Hata wasipobadilisha mi ninajua ni MILIONI MIA TATU NA ELFU THEMANINIModerators msibadilishe iendelee kusomeka shilingi 380 hivyo hivyo