Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Waasi wa M-23 wamezingira takriban Mji wote wa Goma.
Rais wa kigeni wanashauriwa kuondoka.
Governor wa Kijeshi wa North Kivu ameuawa jana kuhusiana na haya mapigano.
M+23 wanawaamboa wanajeshi wa SADC na MONUSCO kwamba huu ugomvi hauwahusu.
Mr. Gutterres is asking both sides to show restraint.
So what is happening here. Lands Donald Trump alipochaguliwa,this dormant war will come to life.
What is happening?
I wish I knew more about military strategy.
M-23 wakishambulia will SAMIDRC defend the citizens or will itake a strategic withdrawal?
It is unthinkable kwa M- 23 kuiteka Goma.
Nilikuwepo kule Goma 2000 na niliona ndege za cargo zilivyokuwa zinatua airport kila baada ya dakika tano.
Rais wa kigeni wanashauriwa kuondoka.
Governor wa Kijeshi wa North Kivu ameuawa jana kuhusiana na haya mapigano.
M+23 wanawaamboa wanajeshi wa SADC na MONUSCO kwamba huu ugomvi hauwahusu.
Mr. Gutterres is asking both sides to show restraint.
So what is happening here. Lands Donald Trump alipochaguliwa,this dormant war will come to life.
What is happening?
I wish I knew more about military strategy.
M-23 wakishambulia will SAMIDRC defend the citizens or will itake a strategic withdrawal?
It is unthinkable kwa M- 23 kuiteka Goma.
Nilikuwepo kule Goma 2000 na niliona ndege za cargo zilivyokuwa zinatua airport kila baada ya dakika tano.