M - Gas biashara imewashinda. TBS futieni leseni hawa wapuuzi

M - Gas biashara imewashinda. TBS futieni leseni hawa wapuuzi

Aisee kuendesha biashara bongo ukiachana na TRA sisi wenyewe tunaharibiana. Yani mtz akiingia kazini ukiwa umempa ajira plan yake ni kutafuta namna akuibie. Hajali hasara unayopata. Unamwajiri mtu famasi, kumbe anakuja na dawa zake ndizo anauza wewe unashangaa hakuna mauzo. Kazi yako kumpa mshahara na kulipia fremu lakini kumbe yeye anauza dawa zake.
SISIEMU ndio imetufundisha kuiba!

Kila mtanzania anaiba kutokana na sehemu aliyopo:

SISIEMU wenyewe qanatuibia kwenye kura ndio maana bado wapo madarakani
 
This was one of the Best Ideas of its Time....; Ila ndio hivyo implementation imekuwa ndivyo sivyo; Lakini bado wana uwezo wakufanya vema....

Anyway Ideas is one thing but implementation is the Key.....
 
Back
Top Bottom