M-Pawa na mikwara ya kuwashtaki wadeni wake

M-Pawa na mikwara ya kuwashtaki wadeni wake

Mpawa Roba yao ikoje ukikopa mfano laki moja

Mkopo.wanakupa wote laki moja na riba inakuwa kiasi gani na unakatwa lini unatakiwa kurudisha kiasi gani ukikopa laki moja mfano?
 
Utaona sms......."Ndugu mteja jina lako limeorodheshwa kama mdaiwa sugu kwenye taasisi zinazoshughulika na ukusanyaji wa madeni, lakini hatujaishia hapo tu kuna kikosi cha makomando wanne wenye silaha nzito za kivita wapo kwenye maandalizi ya kukuvamia mahali popote ulipo, kuna maninja sita walio tayari kukuibukia hapo ulipo na kukufanyiab kitu mbaya sana boya wewe, usisahau kuwa tumekodi mdunguaji mmoja mahiri sana kutoka Cuba, yani muda wowote ukijitikisa jamaa anakuzimisha maana hana huruma yule bwege.......sasa ili kuepuka kuishi kwa wasiwasi hebu lipa hilo deni"
 
Utaona sms......."Ndugu mteja jina lako limeorodheshwa kama mdaiwa sugu kwenye taasisi zinazoshughulika na ukusanyaji wa madeni, lakini hatujaishia hapo tu kuna kikosi cha makomando wanne wenye silaha nzito za kivita wapo kwenye maandalizi ya kukuvamia mahali popote ulipo, kuna maninja sita walio tayari kukuibukia hapo ulipo na kukufanyiab kitu mbaya sana boya wewe, usisahau kuwa tumekodi mdunguaji mmoja mahiri sana kutoka Cuba, yani muda wowote ukijitikisa jamaa anakuzimisha maana hana huruma yule bwege.......sasa ili kuepuka kuishi kwa wasiwasi hebu lipa hilo deni"
Hebu screenshot hizo sms tuzione
 
Back
Top Bottom