M Pesa/Airtel Money rudisheni pesa yangu

M Pesa/Airtel Money rudisheni pesa yangu

Robbiej4

New Member
Joined
Jun 16, 2022
Posts
1
Reaction score
2
Hawa jamaa sijui vipi. Nimefanya transaction Jumatano iliyopita, nimemtumia mtu wa Mpesa kwa bahati mbaya miamala ikaenda mara mbili. Nimewasiliana na Airtel Money wanasema wanasema Mpesa itarudisha ndani ya masaa 48. Leo sijaona muamala wowote . Rudisheni pesa yangu tafadhali. Maisha magumu.
 
pole sana, wapigie tena simu, shida huwa ukikutana na CC mvivu anakua anakuzungusha kutatua shida yako.
 
Hawa jamaa sijui vipi. Nimefanya transaction Jumatano iliyopita, nimemtumia mtu wa Mpesa kwa bahati mbaya miamala ikaenda mara mbili. Nimewasiliana na Airtel Money wanasema wanasema Mpesa itarudisha ndani ya masaa 48. Leo sijaona muamala wowote . Rudisheni pesa yangu tafadhali. Maisha magumu.
Pole sasa sisi tunao ingia wageni mnatushaulije
 
Back
Top Bottom