Wana jf kuanzishwa kwa kodi kwenye utumaji wa pesa kupitia simu ni kama vile serikali imeona mabenki mengi yamekosa wateja na hatimaye kuanzisha huu mfumo utakaonza july 2013 baada ya bajeti ya mwaka huu kuptishwa.
Makampuni ya simu jipangeni hii ni strategy ya kuhamasisha wananchi waende benki, maana kuna benki zingine sasa zinakufa kwa sababu vijana wengi nao wanaweka hela zao kwenye simu.
Makampuni ya simu jipangeni hii ni strategy ya kuhamasisha wananchi waende benki, maana kuna benki zingine sasa zinakufa kwa sababu vijana wengi nao wanaweka hela zao kwenye simu.