TOKA MAKTABA :
12 February 2025
Bukavu, Sud Kivu
GAVANA AOMBA RAIA : MAHARAGE, UNGA NA DAGAA KWA AJILI YA JESHI LA SERIKALI YA KONGO FARDC
View: https://m.youtube.com/watch?v=dHysQuXyOoI
Gavana mheshimiwa Jean-Jacques Parusi wa Jimbo la Kivu Kusini alipokuwa anaomba raia wawapatie msaada wa unga wa sembe, maharage na dagaa askari wa jeshi la Serikali ya Kongo FARDC ili waweze kupambana na M23
RAIA WASEMA KUWA ASKARI WA SERIKALI WAFANANISHWA NA PANYA RODI / VIBAKA. SABABU ZATAJWA :
Jeshi la serikali ya Congo FARDC wanajeshi wake wanakosa mishahara kwa miezi kibao, vifaa chakavu kama sare na buti za vita, njaa na pia viongozi waliopo makao makuu ya nchi kule Kinshasa kutowapatia rasilimali hizo muhimu ili askari kuwa na morali ya kuipambania serikali ya rais Felix Tshisekedi
Pia upande mwingine maofisa wa Jeshi la FARDC wanaoongoza brigedi, vikosi na kombania waliopo mstari wa mbele wanashiriki katika uporaji wa maliasili kama madini n.k Huku wakilazimisha askari wapiganaji kuwa na nidhamu kwa utawala wa Kinshasa.
Matokeo yake askari wa FARDC wamegeuka kuwa panya rodi na vibaka kwa kuwapora raia ili wajikimu wao na familia zao. Hii imejenga chuki na kutoaminiwa na raia kwa askari wa serikali kukosa nidhamu, hivyo popote FARDC ilipo wananchi wanaishi kwa hofu.
Raia wanasema ukikutana na askari wa serikali ukiwa na simu mobile au cash mfukoni, wakikupora bila kukuua utakuwa na bahati kubwa Mungu anakusimamia, wengi wamepoteza maisha kutokana na kukumbana uso kwa uso na FARDC.
Maeneo yanayokaliwa na M23 kuna utawala wa sheria, askari wa M23 wana nidhamu ya hali ya juu pia morali ya kufika Kinshasa kuchukua nchi ili kubadilisha hali mbaya waliyonayo wakongomani wote.
12 February 2025
Bukavu, Sud Kivu
GAVANA AOMBA RAIA : MAHARAGE, UNGA NA DAGAA KWA AJILI YA JESHI LA SERIKALI YA KONGO FARDC
View: https://m.youtube.com/watch?v=dHysQuXyOoI
Gavana mheshimiwa Jean-Jacques Parusi wa Jimbo la Kivu Kusini alipokuwa anaomba raia wawapatie msaada wa unga wa sembe, maharage na dagaa askari wa jeshi la Serikali ya Kongo FARDC ili waweze kupambana na M23
RAIA WASEMA KUWA ASKARI WA SERIKALI WAFANANISHWA NA PANYA RODI / VIBAKA. SABABU ZATAJWA :
Jeshi la serikali ya Congo FARDC wanajeshi wake wanakosa mishahara kwa miezi kibao, vifaa chakavu kama sare na buti za vita, njaa na pia viongozi waliopo makao makuu ya nchi kule Kinshasa kutowapatia rasilimali hizo muhimu ili askari kuwa na morali ya kuipambania serikali ya rais Felix Tshisekedi
Pia upande mwingine maofisa wa Jeshi la FARDC wanaoongoza brigedi, vikosi na kombania waliopo mstari wa mbele wanashiriki katika uporaji wa maliasili kama madini n.k Huku wakilazimisha askari wapiganaji kuwa na nidhamu kwa utawala wa Kinshasa.
Matokeo yake askari wa FARDC wamegeuka kuwa panya rodi na vibaka kwa kuwapora raia ili wajikimu wao na familia zao. Hii imejenga chuki na kutoaminiwa na raia kwa askari wa serikali kukosa nidhamu, hivyo popote FARDC ilipo wananchi wanaishi kwa hofu.
Raia wanasema ukikutana na askari wa serikali ukiwa na simu mobile au cash mfukoni, wakikupora bila kukuua utakuwa na bahati kubwa Mungu anakusimamia, wengi wamepoteza maisha kutokana na kukumbana uso kwa uso na FARDC.
Maeneo yanayokaliwa na M23 kuna utawala wa sheria, askari wa M23 wana nidhamu ya hali ya juu pia morali ya kufika Kinshasa kuchukua nchi ili kubadilisha hali mbaya waliyonayo wakongomani wote.