M23 mlangoni mwa Walikale

M23 mlangoni mwa Walikale

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
Huko Kivu kasikazini, vita kati ya jeshi la serikali na kundi la M23 vinaendelea.

Leo hii,tarehe 9 Machi 2025, limekabwa eneo la Nyabyondo. Eneo hili lipo karibu na jimbo la Walikale. Ikumbukwe kwamba, hapa WALIKALE, ndipo ulipoo mgodi wa ALPHA MINE, ambao ni mali ya serikali ya CANADA.

Canada siku za nyuma umeiwekea vikwazo nchi ya Rwanda, kwa kuhusishwa na kuunga mkono kundi hilo la M23.

Hivyo, Walikale pamoja na mgodi huo, vikiangukia mikononi mwa M23, basi tena, ndo kwa heri madini ya Congo ya kujiokotea. Na hili ni moja wapo wa maeneo M23 inayoyatafuta kwa udi na uvumba.
 
SHIDA moja wazungu ukiwachukulia kitu ata kama kilikiwa chako wao Wataungana kukukabili kwasasa ngoja tuone mzozo utaishaje...
Tuliambiwa kuna Mkutano wa Chiefs of Defence of East African States watakaa na kuja na solution. Sijajua wamefika wapi
 
Tuliambiwa kuna Mkutano wa Chiefs of Defence of East African States watakaa na kuja na solution. Sijajua wamefika wapi
Hahahaha hicho kikao kilifanyika, badhi ya wahusika hawakuwepo. Kwa hali ilivyo, kuna watu wanasupport DRC, kwao kuongea na M23,hakuna. Akiwemo mmoja alieahidiwa $milioni 20 akiwaweza M23. Kuna wengine, wamesimamia pale pale mazungumzo na M23 yawepo. Kwa ujumla kikao chao hakikuzaa matunda. Hii vita imekaa kibiashara sana zaidi ya upatikanaji wa amani.
 
Hahahaha hicho kikao kilifanyika, badhi ya wahusika hawakuwepo. Kwa hali ilivyo, kuna watu wanasupport DRC, kwao kuongea na M23,hakuna. Akiwemo mmoja alieahidiwa $milioni 20 akiwaweza M23. Kuna wengine, wamesimamia pale pale mazungumzo na M23 yawepo. Kwa ujumla kikao chao hakikuzaa matunda. Hii vita imekaa kibiashara sana zaidi ya upatikanaji wa amani.
Kile cha mwanzo walikaa Head of States, Walikubaliana waunde Joint Summit ya Chief Defence Forces za Nchi wanachama. Nilikuwa na matumaini hawa watalaam wa mambo ha Vita na Usalama watatuletea Suluhu Haraka iwezekanavyo
 
Huko Kivu kasikazini, vita kati ya jeshi la serikali na kundi la M23 vinaendelea.
Leo hii,tarehe 9 Machi 2025, limekabwa eneo la Nyabyondo. Eneo hili lipo karibu na jimbo la Walikale. Ikumbukwe kwamba, hapa WALIKALE, ndipo ulipoo mgodi wa ALPHA MINE, ambao ni mali ya serikali ya CANADA.

Canada siku za nyuma umeiwekea vikwazo nchi ya Rwanda, kwa kuhusishwa na kuunga mkono kundi hilo la M23.
Hivyo, Walikale pamoja na mgodi huo, vikiangukia mikononi mwa M23, basi tena, ndo kwa heri madini ya Congo ya kujiokotea. Na hili ni moja wapo wa maeneo M23 inayoyatafuta kwa udi na uvumba.
RDF wanazidi kusonga mbele naona wameamua kutanua himaya ya nchi yao.
 
Kile cha mwanzo walikaa Head of States, Walikubaliana waunde Joint Summit ya Chief Defence Forces za Nchi wanachama. Nilikuwa na matumaini hawa watalaam wa mambo ha Vita na Usalama watatuletea Suluhu Haraka iwezekanavyo
Haiwezi kuwa rahisi namna hiyo. DRC yenyewe kwanza haipo tayari. Inaamini issue yake itamalizwa kijeshi tu. Burundi, inazidi kuongeza jeshi huko, mpakani na ndani. Si kitita cha hela kilishaahidiwa? Baada ya kupoteza Kivu kasikazini, mdaiwa alisema hawezi kulipa hata senti moja. Mwenzake akaahidi basi airudishe Kivu kusini apate chake. Hawa, inasemekana kila mwanajeshi aliahidiwa kupata Dola elfu 5 kila mwezi,wameambulia Dola 70, wanajeshi wadogo, huku ofisa wakipata 300. hapo nani alie tayari kufia hela za karanga na kuacha familia yake ikiteseka? Na unadhani kama mhusika mkuu hana time na vikao hivyo, na wengine mmoja hayupo tayari, unategemea nini?
 
Kile cha mwanzo walikaa Head of States, Walikubaliana waunde Joint Summit ya Chief Defence Forces za Nchi wanachama. Nilikuwa na matumaini hawa watalaam wa mambo ha Vita na Usalama watatuletea Suluhu Haraka iwezekanavyo
Na kingine tena, kikao cha wakuu wa nchi 5 za SADC(Tanzania, Malawi,Zambia, South Afrika na DRC); wakuu hawa wa nchi wameamua kusimamia upande wa DRC.

Njia ziendazo DRC, kupitia Uganda, Rwanda na Burundi, kwa sasa ni impossible.

Israel, ambae inasadikika huenda akawa mfadhili mkubwa baada ya kugundua mSouth yupo mzima mzima, nae anamwinda kwa kila njia. Hapo DRC nae ana watu wake, wanaojulikana na wanafiki.

Mr tall, alisema ikibidi waingie mzigoni, ni kupigana kama hawana cha kupoteza. Mpaka sasa, maeneo iliyoshikilia M23, hakuna kitu kuruka juu au kupita angani. Usiniulize kinachosababisha,na wewe ni mtu mzima.

Migodi ya rais inasemekana imeanza kuwekewa ka mkono, na hakika kuna uvamizi wa mafia.

Hapa kuna moto mkali kuwaka, au Tshisekedi kupinduliwa.
 
Naona m23 waichukue congo nzima nazan amani itakuepo ,na jwtz irudishe majeshi yake nyumban hatutaki purukushani za kivita mlangoni kwetu
 
Naona m23 waichukue congo nzima nazan amani itakuepo ,na jwtz irudishe majeshi yake nyumban hatutaki purukushani za kivita mlangoni kwetu
Hivi, hamuambiwi ukweli? Wanajeshi wa TZ waliokwenda kwenye mission ya SAMIDRC wako wapi????🙄😳😳😳😳 Maana waliokwenda mission ya MONUSCO wao wapo hawana shida.
 
Canada siku za nyuma umeiwekea vikwazo nchi ya Rwanda, kwa kuhusishwa na kuunga mkono kundi hilo la M23.
Huko Kivu kasikazini, vita kati ya jeshi la serikali na kundi la M23 vinaendelea.

Leo hii,tarehe 9 Machi 2025, limekabwa eneo la Nyabyondo. Eneo hili lipo karibu na jimbo la Walikale. Ikumbukwe kwamba, hapa WALIKALE, ndipo ulipoo mgodi wa ALPHA MINE, ambao ni mali ya serikali ya CANADA.

Canada siku za nyuma umeiwekea vikwazo nchi ya Rwanda, kwa kuhusishwa na kuunga mkono kundi hilo la M23.

Hivyo, Walikale pamoja na mgodi huo, vikiangukia mikononi mwa M23, basi tena, ndo kwa heri madini ya Congo ya kujiokotea. Na hili ni moja wapo wa maeneo M23 inayoyatafuta kwa udi na uvumba.
 
Tatizo makongomani yanajua kukata viuno na kujichubua , muda mwingine natamani mr tall aichukue ile nchi maana ni ufala tuu 🤬🤬🤬
 
Ndo maana hivi vita
Canada siku za nyuma umeiwekea vikwazo nchi ya Rwanda, kwa kuhusishwa na kuunga mkono kundi hilo la M23.
, ndani yake vina mengi tofauti na tunachokiona kwa macho yetu. Mcanada ana mkono, Mbeligigi ndo hivo, Mchina yupo, Mrusi yupo, Msouth yupo, na huyu kwa kuipeleka ICC Israel, inamtamani sana aingie mzigoni. Japo dalili za kwanza zinaonyesha alishaonja.
 
Back
Top Bottom