M23 wafanya shambulio jipya DRC mara baada ya kusema watasitisha mapigano nchini humo

M23 wafanya shambulio jipya DRC mara baada ya kusema watasitisha mapigano nchini humo

jojipoji koromije

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,024
Reaction score
1,466
Wakati viongozi wa DRC na Rwanda wakijipanga kuja Dar kwa mazungumzo ya kumaliza Vita Mashariki mwa DRC huku M23 “wakiiigiza” kuacha vita jana.

Habari kutoka uwanja wa vita ni kuwa mapambano yameanza upya leo huku M23 wakilia kwa kichapo kikali kutoka majeshi ya DRC na washirika wake.

Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia vyombo mbalimbali vya habari Duniani. Mpango wa DRC ni kuisukuma vita hii mpaka Kigali. Nauona mwisho wa Kagame.
😬😬😬
IMG_5808.jpeg
 
Bado sijaoa , nikiwa tayari nimeona nina na kuacha Legacy ya mtoto nitawashan kiGunman nikifa mtoto wangu atakuja Kukiwasha kulipa kisasi Cha kifo Cha Baba yake , hayo ndio mahesabu yangu kwa hiyo usinione nipo kizembe.
Gun man 😁😁😁😁😁😁 ... Ushekh mandazi kamwachia nani...
 
Wakati viongozi wa DRC na Rwanda wakijipanga kuja Dar kwa mazungumzo ya kumaliza Vita Mashariki mwa DRC huku M23 “wakiiigiza” kuacha vita jana. Habari kutoka uwanja wa vita ni kuwa mapambano yameanza upya leo huku M23 wakilia kwa kichapo kikali kutoka majeshi ya DRC na washirika wake. Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia vyombo mbalimbali vya habari Duniani. Mpango wa DRC ni kuisukuma vita hii mpaka Kigali. Nauona mwisho wa Kagame.
😬😬😬
Ulichokiandika na ulichoambatanisha havilingani.
 
Oya Fanya yako nitakutungua , endelea kumfaidisha muhindi na makamari yako huku ukizidi kufilisika kimali na kiakili..
Kamali = kamari
Wewe mbona unacheza kamari au haujui kamari unayo chezaga?
 
Wakati viongozi wa DRC na Rwanda wakijipanga kuja Dar kwa mazungumzo ya kumaliza Vita Mashariki mwa DRC huku M23 “wakiiigiza” kuacha vita jana. Habari kutoka uwanja wa vita ni kuwa mapambano yameanza upya leo huku M23 wakilia kwa kichapo kikali kutoka majeshi ya DRC na washirika wake. Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia vyombo mbalimbali vya habari Duniani. Mpango wa DRC ni kuisukuma vita hii mpaka Kigali. Nauona mwisho wa Kagame.
😬😬😬
Dawa nikumtoa PK madarakani tu.
 
Wakati viongozi wa DRC na Rwanda wakijipanga kuja Dar kwa mazungumzo ya kumaliza Vita Mashariki mwa DRC huku M23 “wakiiigiza” kuacha vita jana. Habari kutoka uwanja wa vita ni kuwa mapambano yameanza upya leo huku M23 wakilia kwa kichapo kikali kutoka majeshi ya DRC na washirika wake. Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia vyombo mbalimbali vya habari Duniani. Mpango wa DRC ni kuisukuma vita hii mpaka Kigali. Nauona mwisho wa Kagame.
😬😬😬
... Msaada kutoka Uganda umewasili tayari!
 
Dawa nikumtoa PK madarakani tu.
Kagame anapaswa kunyongwa kama Sadam Hussein wa Iraq. Anachokifanya kupitia M23 kinatuathiri hata sisi!! Kumbuka mizigo mingi inayopita bandarini Dar percent kubwa inaenda DRC; sasa kama utaisumbua DRC kwa vita nani ataagiza mizigo?? Huyu kagame anataka kuua uchumi ya Tanzania. Hapaswi kuishi!!!
 
Oya Fanya yako nitakutungua , endelea kumfaidisha muhindi na makamari yako huku ukizidi kufilisika kimali na kiakili..
Kuna mkeka wa usiku huu nux,ntakutumia 50 ya vocha.... hahaaahaaaaaa,mhindi anapiga sana pesa betting
 
Vyombo vingine vya habari vinasema m23 wameteka mji mwingine leo, Kama ni kweli Kagame ataendelea kuwadharau sana wabantu, watu walishangilia maigizo yake ya ku retreat
 
Back
Top Bottom