M23 wafungua mpaka na kuruhusu wakimbizi kurundi makwao

M23 wafungua mpaka na kuruhusu wakimbizi kurundi makwao

Mr Putin

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2019
Posts
515
Reaction score
520
M23 waonyesha kuwa na leadership kuliko Serikali ya Kinshasa. Wafungua mpaka wa Bunagana na kuruhusu wakimbizi kurudi. Kisekedi hapa kapigwa kitu kizito.

IMG_20220620_112205.jpg
IMG_20220620_112201.jpg
 
Inabidi JWTZ iende tena ikatoe somo kidogo kama wakati ule.
Unaweza kuwapiga M23 ila huwezi kuua ajenda yao, tatizo ni serikali ya kongo kukumbatia FDRL waliokimbia Rwanda baada ya kufanya genocide na kuihamishia kongo ni kuanza kuua wakongo wenye asili ya Rwanda, ndiomana serikali ya Tchisekedi inalaumu Rwanda kwakua wanajua Rwanda haiwezi kukubali kuona ndugu zao wanauliwa.
 
Unaweza kuwapiga M23 ila huwezi kuua ajenda yao, tatizo ni serikali ya kongo kukumbatia FDRL waliokimbia Rwanda baada ya kufanya genocide na kuihamishia kongo ni kuanza kuua wakongo wenye asili ya Rwanda, ndiomana serikali ya Tchisekedi inalaumu Rwanda kwakua wanajua Rwanda haiwezi kukubali kuona ndugu zao wanauliwa.
Mpuuzi wewe, suala la FDRL linakuaje suala la Congo. Wewe ni mmoja wao bila shaka.
 
Unaweza kuwapiga M23 ila huwezi kuua ajenda yao, tatizo ni serikali ya kongo kukumbatia FDRL waliokimbia Rwanda baada ya kufanya genocide na kuihamishia kongo ni kuanza kuua wakongo wenye asili ya Rwanda, ndiomana serikali ya Tchisekedi inalaumu Rwanda kwakua wanajua Rwanda haiwezi kukubali kuona ndugu zao wanauliwa.
Kama kuna ndugu zao Congo kwanini asiwapeleke Rwanda.
 
Inabidi JWTZ iende tena ikatoe somo kidogo kama wakati ule.
M23 wamepata wapi ujasiri wa kuteka miji ya watu na kuendesha mambo kama Serikali iliyo uhamishoni - hii inaleta picha gani??

Mtu anajitokeza bila aibu na kudai eti M23 inaendesha mambo vizuri kuliko Serikali ya Kinshasa!!! What a laughable comment??
 
M23 wamepata wapi ujasiri wa kuteka miji ya watu na kuendesha mambo kama Serikali iliyo uhamishoni - hii inaleta picha gani??

Mtu anajitokeza bila aibu na kudai eti M23 inaendesha mambo vizuri kuliko Serikali ya Kinshasa!!! What a laughable comment??
Hakuna kundi la waasi hapo, Kuna nchi jirani inacheza mchezo mchafu kwa mgongo wa Uasi.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] so funny, hakika Congo inajua ndombolo ya solo tu.
 
M23 wamepata wapi ujasiri wa kuteka miji ya watu na kuendesha mambo kama Serikali iliyo uhamishoni - hii inaleta picha gani??

Mtu anajitokeza bila aibu na kudai eti M23 inaendesha mambo vizuri kuliko Serikali ya Kinshasa!!! What a laughable comment??
 

Attachments

  • twitter_20220614_161729.mp4
    1.2 MB
Back
Top Bottom